Vijana jifunzeni programming you wont regret it

Vijana jifunzeni programming you wont regret it

Mi kiukweli napenda kujifunza hizi mambo na cjui nianzie wap yan cna njualo Katika computer pia uwezo wa kununua laptop nnao hata kama ni million ndugu yetu kama una moyo anzisha watsap group kama walivoshauri wenzetu
Nenda youtube search "africom developers" kuna jamaa alikua anaanda videos za wanaoanza programming
 
Nimepitia IT kidogo lakini programming bado

Je nitatumia software gani ambayo itaniwesesha kuanzia designing hadi coding
 
Hivi nauliza hiki kitu je inawezekana kuunganisha HTML/CSS pamoja na msql..
Kwenye database connection unaweza ukatumia Php au language nyingine na
sio HTML au CSS

$connection=mysqli_connect("hostname","username","password","databasename")
 
Niko interested sana na kusomea programming..swali langu..Ni masomo gani ya shule yanahitajika ili kujiunga na IT na course zake kwa ujumla?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom