Kurt godel
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 317
- 174
programming maelezo kidogo
ni kwamba jamiiforum, mpesa, tigopesa,airtel money,maximalipo,youtube,facebook,whatsapp,google vilitengenezwa na wataalamu wa programming
offcourse ndo mabilionare nchini kwetu kama sio duniani
so huo ujuzi watu hawazaliwi nao bali hujifunza, sio lazima uende chup unaweza jifundisha mwenyewe ukiwa nyumbani
na kumbuka mimi hela yangu ya kwanza niliipata ndani ya miezi mitatu ilikuwa shilingi laki tatu na nusu .......hiyo ndo ilinitia moyo na kuendelea kuchimba
nadhani hii ndo sababu kubwa programming haiendelei hapa nchini.Baadala ya kuanza kui appreciate programming kwanza ndo hela baadaye the only thing mnachoanza kufikiria ni hela.Ndiyo maana wengi hampendi kusoma vitabu, video tu za youtube na kuulizwa maswali stack overflow.Most of the people ukiwauliza kwanini wanajifunza programming watakuambia kuwa wanataka wawe matajiri kama bill gate lakini mnasahau kuwa wenzenu walianza kusoma just for fun na opportunity za hela zilipofika ndo wakachangamkia fursa. Hii mentality ya hela kwanza isipobadilika na uhakika programming haitaendelea miaka nenda rudi hata kama video za youtube ziongezeke mara ngapi