VIJANA FLANI MATOZI MWENGE WALIKUWA WANA BURN CD MIAKA YA 2005

Matope

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
892
679
Kuna Madogo flan walikuwa sijui mapacha,walikuwa maarufu sana kwa ku burn cd ,yaani tulikuwa tunajazana pale kusikilize cd zetu,kijiwe hicho hicho alikuwa anashida sana Linex akiwa hana hata 100 mfukoni


Hivi kijiwe bado kipo?
 
Dah! Mishe zangu hizo kitambo, sema baada ya kukua ilikuwa full mateso; manake kwa wiki unaweza kujikuta kila siku unalala saa 2-3 ili kukamilisha mzigo wa Machinga wa mikoani ambao order zao hazikuwa za kitoto!

Sema duh, zile pesa sijui nilikuwa napeleka wapi!!!!
 
Dah! Mishe zangu hizo kitambo, sema baada ya kukua ilikuwa full mateso; manake kwa wiki unaweza kujikuta kila siku unalala saa 2-3 ili kukamilisha mzigo wa Machinga wa mikoani ambao order zao hazikuwa za kitoto!

Sema duh, zile pesa sijui nilikuwa napeleka wapi!!!!
Hatari fire
 
Dah! Mishe zangu hizo kitambo, sema baada ya kukua ilikuwa full mateso; manake kwa wiki unaweza kujikuta kila siku unalala saa 2-3 ili kukamilisha mzigo wa Machinga wa mikoani ambao order zao hazikuwa za kitoto!

Sema duh, zile pesa sijui nilikuwa napeleka wapi!!!!
Ndo ylizojifunzia kuhonga.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Mishe zangu hizo kitambo, sema baada ya kukua ilikuwa full mateso; manake kwa wiki unaweza kujikuta kila siku unalala saa 2-3 ili kukamilisha mzigo wa Machinga wa mikoani ambao order zao hazikuwa za kitoto!

Sema duh, zile pesa sijui nilikuwa napeleka wapi!!!!
Mali ya wizi Hua haidumu na hata ikidumu huwa haina mwisho mzuri.
Mlikuwa mnaiba kazi za wasanii bila kujali gharama walisokuwa wakizitumia kutayarisha kazi hizo.
 
Kijiwe nakikumbuka sana, kuna siku kina KALA PINA walivamia wakabeba KOMPYUTA zote pale ila madogo walivyo fiti/shapu wakawa wameshaya-lock ma-file ya BONGO FLAVA


WAKASEMA WANA-BURN ZA MBELE TU
 
Kijiwe nakikumbuka sana, kuna siku kina KALA PINA walivamia wakabeba KOMPYUTA zote pale ila madogo walivyo fiti/shapu wakawa wameshaya-lock ma-file ya BONGO FLAVA


WAKASEMA WANA-BURN ZA MBELE TU

Hahaha yaani pale ni shida wale madogo dah
 
Mali ya wizi Hua haidumu na hata ikidumu huwa haina mwisho mzuri.
Mlikuwa mnaiba kazi za wasanii bila kujali gharama walisokuwa wakizitumia kutayarisha kazi hizo.
It's completed!! Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini Wasanii Bongo hawalipwi mrabaha/royalty kwa nyimbo zao kuchezwa redioni/tv na wenyewe wala hawalalamiki?!

In short, wenyewe walikuwa wanaona tunawasaidia zaidi kuliko kuwaibia, na ndio maana hadi leo msanii anatoa ngoma, anaiachia online na kuwahamasisha watu wakaiangalie for FREE!!!
 
Kuna Madogo flan walikuwa sijui mapacha,walikuwa maarufu sana kwa ku burn cd ,yaani tulikuwa tunajazana pale kusikilize cd zetu,kijiwe hicho hicho alikuwa anashida sana Linex akiwa hana hata 100 mfukoni


Hivi kijiwe bado kipo?
Ni wale ambao walikuwa karibia na Mwenge msikitini ?
Ambao walikuwa wanaburn CD za muziki,movies na kuuza games

Kama ni hao I think unamzungumzia Steve alikuwa white kilikuwa kijiwe changu tangu nasoma sekondari hadi nafanya kazi

Mmiliki namfahamu walihama 2015 baada ya jamaa kuwapandishia kodi.Wamehamia karibia na TRA pia wana ofisi nyingine Law School

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar ina mambo
Kuna mtu humu aliwahi kumuulizia bishoo mmoja kwa jina la "mpoki" kwamba alikua anamuona huko dar miaka ya mwanzoni mwa 2000 nilicheka sana.hilo jina mpoki hua nalihusisha na mpoki comedian

Sent using Jamii Forums mobile app


Nafikiri alimaanisha Mpoki huyu.....haka kajamaa ni fake mno na anapenda sana kujifananisha na Mpoki Comedian.
mpoki.jpg
 
Back
Top Bottom