system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 706
- Thread starter
- #21
Mwenyewe naona hilooKamishna wa TRA anaweza pangiwa kazi nyingie ajiandae kuwa RAS
Mwenyewe naona hilooKamishna wa TRA anaweza pangiwa kazi nyingie ajiandae kuwa RAS
Bila kusahau vijana wa TRAWote haoo
Huu mkutano uko staged vichwa vya watu viliwe.Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Hahahaha nimenusa hiyo harufuHuu mkutano uko staged vichwa vya watu viliwe.
Mwigulu akipona akatoe shukrani.
CG naye ananing,inia
Namba nne analia peke yake na wale mapolisi,yule mpemba na yule mweusi,wengine shangwe tuKikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Imagine huyo mfanyaboashara alivyoeleza namna ya kupata Kodi kwenye secta ya usafiri badala ya kuyabana maloriHadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.
Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
Namba 4 akipona, hatatolewa tenaNamba nne analia peke yake na wale mapolisi,yule mpemba na yule mweusi,wengine shangwe tu
Nchi mbovu hiiHadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.
Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
Matendo yake ndio Yana muandama sio watu wengineIla Mwigulu ni km adui wa Taifa anaandamwa balaa
Imagine huyo mfanyaboashara alivyoeleza namna ya kupata Kodi kwenye secta ya usafiri badala ya kuyabana malori
Hakuna wa kuondokaKikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Halafu hajaingizwa kwenye kamati ....nime maindi sanaImagine huyo mfanyaboashara alivyoeleza namna ya kupata Kodi kwenye secta ya usafiri badala ya kuyabana malori
Hafu madelu kawapiga chenga la kihuni sana bungeni hahahahaahUnabaki jiuliza inakuaje na watu wanakula posho pale dodoma
Na mama kaamua kumlea sana ngoja atajua kuwa hata yeye sio vile wanavyo mdanganya waliomzungukaIla Mwigulu ni km adui wa Taifa anaandamwa balaa
Migulu anasakwa sanaKikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Sahau kabisa hizo habari za Mwigullu kuguswa.Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?