Vigogo wa Gazeti la Tanzania Daima wafika ofisi za Wizara ya Habari na Michezo kwa Majadiliano kuhusu hatima ya gazeti hilo

Tanzania Daima ilifutiwa leseni , haikufungiwa
 
Bwana mdogo anajichekesha kwa waziri
 
Kwenye Yeye kutokuwa na Akili nitakubishia mpaka mwisho wa dunia kwakuwa ninamjua vyema tu.

Japo hata Mimi Generalist huwa ananikwaza na kuniboa, ila Jamaa ( Dkt. Abbas ) ni very Brainy Ndugu.
Sawa
Sasa kama walikua ni wa tv tu
Kwanini wenye magazeti wanaenda kuonana na waziri?
Haoni kama kibarua chake kipo mashakani?
Maana kama magazeti yatafunguliwa basi atakua hana kazi na alitaka kupotosha kauli ya sasha
 
Kujieleza huwa ni kabla ya hukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…