Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,465
- 215,288
- Thread starter
- #21
Tanzania Daima ilifutiwa leseni , haikufungiwaWewe si ulisema umembishia Abbas sasa kiko wapi? Tulikwambia Busara ni kwenda wakajieleze,kutoa mapovu hapa JF hakutawasaidia. Sasa nani mshindi kati ya Kina Abbas na wewe uliyekuwa unatokwa povu hapa.Vi online Tv peke yake ndivyo vimefunguliwa nyinyi wengine kajielezeni kwanza.