Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Wakati wazazi wao wako bize na kusoma na kutengeneza maisha ya kizazi chao cha badae sisi wazazi wetu wako bize na starehe na kula Bata.
Wakati wazazi shuleni walikuwa wanazingatia masomo sisi wazazi wetu walikuwa kila siku wako chimbo .
Wakati wazazi wao kila wakipata pesa wanawekeza kwa ajiri kizazi cha badae sisi wazazi wetu kila wakipata pesa inashia kwenye kula Bata
Wakati wazazi wao walikuwa watu kujishusha na kujumuika na watu muhimu sisi wazazi wetu walikuwa wanajifanya masikini jeuri hawawezi kujishusha .
Alafu kesho kutwa watoto wao wana enjoy maisha sisi tunabakia kujenga chuki na makasiriko wakati wazazi wetu walichezea maisha .
Wakati wazazi shuleni walikuwa wanazingatia masomo sisi wazazi wetu walikuwa kila siku wako chimbo .
Wakati wazazi wao kila wakipata pesa wanawekeza kwa ajiri kizazi cha badae sisi wazazi wetu kila wakipata pesa inashia kwenye kula Bata
Wakati wazazi wao walikuwa watu kujishusha na kujumuika na watu muhimu sisi wazazi wetu walikuwa wanajifanya masikini jeuri hawawezi kujishusha .
Alafu kesho kutwa watoto wao wana enjoy maisha sisi tunabakia kujenga chuki na makasiriko wakati wazazi wetu walichezea maisha .