Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,715
- 39,796
- Thread starter
- #1,941
Unaweza kuelezea zaidi kwenye hizo line za royal?hii laini ni mpya tangu imezinduliwa, ina kama mwezi mmoja na wiki mbili hivi, ninatumia hili bando la Royal hivi sasa na hizo 2 gb zimeshakwisha lakini bado naangalia video youtube...kama nilivyosema awali inategemea na eneo ulipo ndio maana unashindwa kupata speed nzuri.