inakubali mkuu jiungeNa Y3 je?
Hongera kwa kufanikisha umefuata izo process hapo juu?Mie nimejiunga hiki kifurushi asee ni bomba sana nimepewa 10GBView attachment 952090
ndiyo mkuu ndo nimefuata hizo taratibuHongera kwa kufanikisha umefuata izo process hapo juu?
What about IMEI ulizo tumia umepata wapi?ndiyo mkuu ndo nimefuata hizo taratibu
kuna mtu nilimtumia pesa akanitumia imei nikafanya kufuata maelezo yakoWhat about IMEI ulizo tumia umepata wapi?
GB1 siku saba kwa 1000Mbona Tigo wanajitahidi tu kutoa offer.....!View attachment 951391View attachment 951393
Yaah ni maajabu kifurushi cha pesa nyingi ni mb chache kuliko cha pesa kidogo....GB1 siku saba kwa 1000
MB 800 saa 24 kwa 2000.
Wamekosa ufanisi
Yaah ni maajabu kifurushi cha pesa nyingi ni mb chache kuliko cha pesa kidogo....
Vituko hv😂😂😂GB1 siku saba kwa 1000
MB 800 saa 24 kwa 2000.
Wamekosa ufanisi
Tupe muongozo jinsi ya kuzipataMambo mazuri wajuzi tunaendelea kunufaika View attachment 954167
Sema, kinapatikna vpTupe muongozo jinsi ya kuzipata
Tunaomba muongozo jinsi ya kufanikisha hilo suala mkuukuna mtu nilimtumia pesa akanitumia imei nikafanya kufuata maelezo yako
nilimuuliza nimwoneshe screenshot zake hana lolote tapeli takataka kabisaBe careful kwa wale mnaowatumia hela ili mpatiwe data hasa huyu anaejiita King Elly. Ni tapeli wa kutupwa, utakaa mwezi unasubiria hizo data, hawa ndo wanachafua reputation ya jf.
Kuna tetesi nimezisikia kuwa kifurushi hicho cha voda cha 10GB kimesitishwa kwa sasa, hv ni kweli?nilimuuliza nimwoneshe screenshot zake hana lolote tapeli takataka kabisa