Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Hii affordable aisee Ina cancel ile ya Halotel ya 10,000 ya 10GB maana utajiunga Mara mbili kwa TTCL then you get 14GB.vya chuo au bila chuo?
Hii affordable aisee Ina cancel ile ya Halotel ya 10,000 ya 10GB maana utajiunga Mara mbili kwa TTCL then you get 14GB.vya chuo au bila chuo?
mkuu hata mimi najuta laini yangu ya kwanza kua tigo maana sometime nalalamika weee halafu sihami yaani kama wamenioa au wamenikodi au sijui wameniroga kwakifupi hawa jamaa(tigo) dawa zao kaliBaada ya tukio hili ambalo kwangu limetokea juzi nahama tiGO ingawa sijajua nielekee wapi maana nimekua natumia huu mtandao kwa miaka mingi sana ila hakuna namna.
yah ni kweli, ngoja ni update threadHii affordable aisee Ina cancel ile ya Halotel ya 10,000 ya 10GB maana utajiunga Mara mbili kwa TTCL then you get 14GB.
Pia wana Toboa Bundle kuanzia saa 22hours-6am kwa Tsh.1500 tuu unapata 10GB wenyewe wameamua kuiweka kuanzia saa 2200hrs walichonifurahisha unaweza kujiunga zaidi ya mara moja kama ina speed hadi saa 1:00 unaweza kujiunga kingine kwa watu wenye matumizi makubwa.yah ni kweli, ngoja ni update thread
hio saa nne usiku una uhakika? maana kuna thread humu niliona ni saa sita usiku ndio inaanzaPia wana Toboa Bundle kuanzia saa 22hours-6am kwa Tsh.1500 tuu unapata 10GB wenyewe wameamua kuiweka kuanzia saa 2200hrs
nimeangalia kwenye website yao ndugu wamesema unaweza kujiunga zaidi ya mara moja piahio saa nne usiku una uhakika? maana kuna thread humu niliona ni saa sita usiku ndio inaanza
Njia ile ile ya kujiunga freemason.unajiungaje?
ok sawa, shukrannimeangalia kwenye website yao ndugu wamesema unaweza kujiunga zaidi ya mara moja pia
Chief iyo quadband ndo nini?wapo maeneo mengi, search network kama una simu yenye quadband utaiona.kama ipo au haipo
Mbona hv vifurushi vya TTCL vimekaa kishawishi shawishi?
Hii ni line ya chuo au kawaida?!
mikumiyetu naona kaingia mitiniWe mikumiyetu nimekupim mpaka mara2 umeuchubua tu..
Hyo chuo mkuuHii ni line ya chuo au kawaida?!
Kaka nimekupm namba yanguKwa wanaoitaji huduma ya university offer kwenye laini zao za VODACOM naunganisha kwa maelezo zaidi Njoo pm
Sawa mkuuoii unge weka namba ya smu tu huko pm hamrwspond
Vizuri delete hii comment wasione Mimi Kuna Mtandao nimejiunga na Line ya Chuo zile dakika za Mtandao yote haziishiHizo ni file ambazo nimeshusha kwa ile huduma ya toboa bando ..wnasema wanakupa 10 GB ila mimi nimedownload files za more than 10 gb pasipo kuisha kwa bando had kumi na mbili asubuh ndio service inakatika.
Kuna tatizo kwenye system mkuu mambo yakirudi tutajulishanaKaka nimekupm namba yangu
PwaniUnaishi mkoa gani.