Vifurushi vya Airtel OMG wamepunguza size za bundle

Vifurushi vya Airtel OMG wamepunguza size za bundle

cc12

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
1,018
Reaction score
397
Wakuu airtel washafanya yao tayari wamepunguza ukubwa wa vifurushi wa OMG vyote jaribuni kucheki maana kila kukicha hali inakuwa mbaya kwenye swala la internent wengine ni watoto wa maskini
 
Dooh walituonjesha tu Kwa muda. Naona sasa wamerudi kibiashara.
 
Mafno cha 6GB week ni 2500 laki sasa week ni 2.5GB only nimesema hicho maana ndo natumia mim


Kwani Mwanzo Vilikuwa Vibaendaje Ki bei na Size ?
 
Bado ni nafuu sana wakuu tuache kulalamika sana! Ungekuwa unaingia internet cafe kwa hiyo 800 yako ungekuwa unaitumia kwa muda gani na ungeweza kutumia GB ngapi?!

Kula urefu wa kamba yako mkuu.
 
Bado ni nafuu sana wakuu tuache kulalamika sana! Ungekuwa unaingia internet cafe kwa hiyo 800 yako ungekuwa unaitumia kwa muda gani na ungeweza kutumia GB ngapi?!

Kula urefu wa kamba yako mkuu.
Kwa nini unalinganisha na bei za internet cafe? Mawazo ya yule mama Malkia aliyewaambia wanaolalamikia upungufu wa mikate wakale keki.

You are not making any sense anyhow. Ukishasema watu wale kwa urefu wa kamba zao ina maana unaelewa kuna wengine kamba zao ni fupi, yani hizo bei sio nafuu kwa wote. Sijui hata kama unaelewa.
 
Naweza kuelewa malalamiko ila kwa sasa bado wako rahisi sana na sidhani kama kuna mwingine anakaribia urahisi wao
 
Last edited by a moderator:
nataka kuuliza hivi hawa airtel wana vifurushi vya internet vya usiku km vile tigo ile ya gb30 au voda ile wajanja nyt?
 
Back
Top Bottom