Ipyana Malecela
Amina Chifupa
Dr. Nicas Mahinda
Abdallah kassim Hanga
Sheikh Othman Shariff
Gibson Mwaikambo
Dr.Omary Ally Juma
Dr. Omary A. Juma nadhani alikuwa Makamu wa Rais wa Mkapa! nae nani kamuua?
Ipyana Malecela
Amina Chifupa
Dr. Nicas Mahinda
Abdallah kassim Hanga
Sheikh Othman Shariff
Gibson Mwaikambo
Dr.Omary Ally Juma
acha kupotosha watu, kuchafua kabila la wasukuma nyambafu mkubwa we! unauhakika wazee wanauliwa usukumani?
Kumekuwepo na maneno ambao hayajawahi kukanushwa wala kusibitishwa na viongozi wa serikali ya CCM juu ya vifo vya viongozi mbalimbali waliowahi kushika nyazifa za juu kwenye serikali ya CCM. lakini walikuja kufa kwenye mazingira ya kimagumashi/ kutatanisha hasa baada ya kuhitirafiana na CCM na wananchi kuituhumu serikali kuwa ilihusika kuwaua viongozi hao vipenzi vya watanzania walio wengi
Sasa ni wakati mwaka kutueleza kinaga ubaga juu ya vifo hivi maana kuna wengine wako njiani ambao wamekuwa wakitajwa tajwa kuwekewa sumu na serikali ya CCM na wenyewe kukiri tofauti na walio tangulia mbele ya haki, ni wakati mafaka hasa baada ya Mtoto wa marehemu Mwalimu JK Nyerere kuweka baya kuwa raisi mstafu ndg Benjamini Wiliam Mkapa alimuua Nyerere .
Kama ifatavyo
Orodha inaendelea
- Karume
- Edward Moringe Sokoine
- Kighoma Malima
- Horace Kolimba
- Imrani Kombe
- JK Nyerere
- Salome Mbatia
so hakuna sababu ya kufanya investigation za vifo?Wewe! wakikusikia wenyewe wasukuma ! teh teh teh ..shauri yako ! mie nilisema tu Nyerere nae alizidi kuzeeka siku zake zilifikia mwisho, hata hivo nikaongeza mambo yake ya kbana watu wakati wenzake wameshaonja vijiasali ndio wakamuondoa, lakini pia nimesikia alikuwa na Gonjwa kuu so huyu Vincent inaweza kuwa mchochezi tu mkubwa ! lakini hata hivo "kila Binadamu ataonja umauti siku yake ikifika. sasa kwanini tunajadili ?
naona wamemchakachua. mzimu wake siuoni hata twitter...!
Wenye mawazo mgando siku zote hujadili watu badala ya issues
Dah.... naona naye alikuwa na hamu ya kutweet lakini ndo hivyo hana uhuru kha!!! Maisha mengine ni adhabu tupu.......
naona wamemchakachua. mzimu wake siuoni hata twitter...!
Hivi mnajua Mzee Sudi Sadi Anandenga yule mshairi maarufu alipata vip upofu.
Je na yule gavana wa benki kuu ambaye inasemeka yupo hai lakinu umma umetangaziwa kuwa amekufa na hakuna mtu aliyehudhuria mazishi yake,tuseme nini?:sleepy:
Huyu hakufa kwa mkono wa mtu,ila ni tanescoprof Chachage Seith Chachage....huyu ilikuaje akafia hotelini???
kali kuliko zote,walitangaza kifo cha ballali D. Ambae yuko hai ndani ya state anadunda. Tar 12 oct 2012 anarudi bongo kuwaumbua!
Kama inasemekana lakini Polisi imeshindwa kuwakamata wahusia huu ni udhaifu mkubwa wa CCM, usalama wetu uko hatarini maana kumbe tuna weza kuuliwa na na muaji asikamatwe..Mbona hujamtaja Chacha Wangwe? au kwakua inasemekana chama unachokishabikia kinahusika na kifo chake
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kama inasemekana lakini Polisi imeshindwa kuwakamata wahusia huu ni udhaifu mkubwa wa CCM, usalama wetu uko hatarini maana kumbe tuna weza kuuliwa na na muaji asikamatwe..