Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,717
- 1,472
katika hao wanaosemekana kuuawa hakuna hata mmoja ubayeweza kusema kauawa kwa ajili ya MASLAHI YA KITAIFA. mmemsahau GOV. DAUDI BALALI ..au kifo cha kwenye karatasi
Sokoine na Salome Mbatia wote waliuwawa kwa jari za barabra iweje moja umeitolea maelzo kuwa aliuliwa na wahujumu uchumi na mwingine umesema ajari ya barabrani nani alithibitisha hayo...Mbona nasikilia salome mbatia aliuwawa baada ya kugundulika kuwa iko siku ataboa siri ya pesa za EPA maana yeye ndiyo aliepewa jukumu la kuzipokea kutoka kwa makampuni yalio kuwa yanazichukua benki kuu....
Je wewe una taarifa mhimu kulko Vicent Nyerere kuwa Nyerere alikufa kwa ngoma...
kwa kuwa ugonjwa wa Mwakyembe unafanana na wa mwalimu yaani ugonjwa wa gozi je Mwakyembe nae ana ngoma...
Hujui kama wazee wanauliwa usukumani.....wewe ni msukuma wa wapi? nikupe mfano
Professor Nicas Guido Mahinda
- Karume - Huyu aliuawa na mwanajeshi ambaye baba yake aliuawa na Karume akimwita ndumila kuwili
- Edward Moringe Sokoine - Huyu aliuawa na wahuju uchumi akina Rashid Kawawa na Cleopa Msuya
- Kighoma Malima - Huyu aliuawa na Kikwete kwa presha baada ya kufungiwa akaunti zake za Uingereza
- Horace Kolimba - Huyu aliuawa na Mkapa na Nyerere baada ya matamshi yake kwamba ccm imekosa mwelekeo
- Imrani Kombe - Aliuawa na Mkapa baada ya kutuhumiwa kumpigia debe Mrema
- JK Nyerere - Aliuawa na Gonjwa Kubwa
- Salome Mbatia - Aliuawa na Ajali za barabarani, labda ilikuwa ajali ya kupangwa.
Kuna yule mzee ktk kongamano la katiba pale mlimani alisema hafi mpaka CCM iondoshwe madarakani na matokeo yake baada ya masaa kadhaa akagongwa na gari akafa.
Huyu pia akumbukwe wakuu.
alivuna alichopanda.
just how?
Daud Ballali?
Vpi na chacha wangwe kifo chake kilikuwa vp
Mimi sitaki kupindisha maneno hapa, ngoja nimwage ***** ...........1.Horace Kolimba kauwawa , muulizeni Philip Mangula na Mkapa2. Mwl Nyerere kauwawa, muulizeni Mkapa na Kikwete kwasababu aliwakataza wasiuze viwanda3.Kighoma Malima aliuwawa4.Tuntemeke Sanga aliuwawa5. Jenerali Robert Mboma kapofuliwa macho6.Amina Chifupa kauwawa kwasababu alitaka kuwataja wazee wa powder7.Stan Katabaro kauwawa8. Mwakyembe si bure yule9. Mwandosya je?Orodha inaendeleaaaaaaaaaaa.................!Kumekuwepo na maneno ambao hayajawahi kukanushwa wala kusibitishwa na viongozi wa serikali ya CCM juu ya vifo vya viongozi mbalimbali waliowahi kushika nyazifa za juu kwenye serikali ya CCM. lakini walikuja kufa kwenye mazingira ya kimagumashi/ kutatanisha hasa baada ya kuhitirafiana na CCM na wananchi kuituhumu serikali kuwa ilihusika kuwaua viongozi hao vipenzi vya watanzania walio wengi … Sasa ni wakati mwaka kutueleza kinaga ubaga juu ya vifo hivi maana kuna wengine wako njiani ambao wamekuwa wakitajwa tajwa kuwekewa sumu na serikali ya CCM na wenyewe kukiri tofauti na walio tangulia mbele ya haki, ni wakati mafaka hasa baada ya Mtoto wa marehemu Mwalimu JK Nyerere kuweka baya kuwa raisi mstafu ndg Benjamini Wiliam Mkapa alimuua Nyerere . Kama ifatavyo
Orodha inaendelea
- Karume
- Edward Moringe Sokoine
- Kighoma Malima
- Horace Kolimba
- Imrani Kombe
- JK Nyerere
- Salome Mbatia
Mimi sitaki kupindisha maneno hapa, ngoja nimwage ***** ...........1.Horace Kolimba kauwawa , muulizeni Philip Mangula na Mkapa2. Mwl Nyerere kauwawa, muulizeni Mkapa na Kikwete kwasababu aliwakataza wasiuze viwanda3.Kighoma Malima aliuwawa4.Tuntemeke Sanga aliuwawa5. Jenerali Robert Mboma kapofuliwa macho6.Amina Chifupa kauwawa kwasababu alitaka kuwataja wazee wa powder7.Stan Katabaro kauwawa8. Mwakyembe si bure yule9. Mwandosya je?Orodha inaendeleaaaaaaaaaaa.................!