kibona
Mwaikambo
Kombe
Dr jumaa
Prof haroub
Dr Kleruu
Hivi mnajua Mzee Sudi Sadi Anandenga yule mshairi maarufu alipata vip upofu.
Mengi na jk waliteswajeOngeza Daud Mwangosi, Mbwambo, Malima, Rutihinda, Mine, Akili, Uswaa ... ambao hawakufanikiwa kufika akhera madukani ni Dr. Ulimboka, Kubenea, Mengi, Kibanda, JK, Lowassa, Chenge, Lyatonga Mrema ...
Dr Omar Juma makamo wa raise huyu aliuliwa na nani
kali kuliko zote,walitangaza kifo cha ballali D. Ambae yuko hai ndani ya state anadunda. Tar 12 oct 2012 anarudi bongo kuwaumbua!
Teh teh teh, Mbona alikuja bongo! au hukusikia...!Mkuu tushaingia 2015,mbona harudi tu huyo Balali?