Vifo vilivyoniumiza JF

Kinachoniogopesha kuhusu kifo ni kutokuwa na hakika ya unapokwenda au life after death. Ila kwa mara ya kwanza mwaka huu, naona chochote ni sawa kwani hata nikifariki siongezi wala sipunguzi kitu
 
Kwamba wanawake hawafi?

Kuna msemo hua nasikia wanaume hufa mapema zaidi kwa sababu ya kubeba mambo mengi sehemu ya kulia badala alie ana kaza

Hata ku share matatizo yake hawezi anahangaka nayo
But sina uhakika kama hii sababu ina mashiko
Hata kwenye maisha ya kawaida wajane ni wengi kuliko wagane😭😭😭
 
Ya PM hayasemwi hadharani hivyo sitamtaja mmojawapo ya hao uliowataja tuliwasialiana PM akiniomba msaada.
Sikufanikiwa kumsaidia na hatukufanikiwa kuonana.
Namba yake ya simu nimefuta siku chache zilizopita.

Ampumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…