Vifo Tabora: Uongozi wa NSSF Makao Makuu Uwajibike

Mkuu GT,

Heshima yako bro, hebu tuweke sawa kuhusu hii ishu, Mwanakijiji amesema endapo itadhihirika kuwa kuna vifo vimetokea, sasa je vifo hivyo vimeshathibitishwa taayri au bado?

Halafu exactly kilichotokea hasa ni nini huko tupeni habari kamili kwanza, maneno yamekua mengi lakini siuoni ukweli wa habari, naomba tena kujua kilichotokea kutoka kwako maana habari ya MMJ haina hitimisho kama ni kweli! Halafu jaribuni kutumia lugha nyepesi ili wananchi wote waelewe kinachosemwa maana wengi tunakula hii elimu ya bure, samahani kwa kukukwaza kama unavyoonyesha kwa maneno yako, lakini ni muhimu wananchi tukaelewa kunachozungumziwa hapa maana si ndio hasa nia na madhumuni yaani kutuelimisha, au?

Mkuu Son of alaska,

Karibu sana maana naona uansema huwa hupo hapa, hapa ni kukata ishus za taifa, mimi ninakuwa na tatizo watu wanapotumia lugha nzito mno kwa wananchi wa kawaida kuelewa, kwa sababu hapa tuna wananchi wa aina nyingi sana na kuna wasioweza kuelewa hizi lugha nzito, hayo ya Boys to Men sina uhakika kwa sababu ninaamini wote hapa ni watu wazima hakuna mtoto mdogo, hapa tunataka kuelimishana sio kuonyeshana nani ana elimu kubwa au ndogo, na that has nothing to do na being a boy au men, au?

Sasa wakuu wote tusaidieni elimu, maana hiyo indepth analysis sijaiona bado nilichokiona kwenye hii thread so far ni ugly personal attacks, unless kama hizo ndio zinaweza kutenganisha boys to men sawa na hayo ya Cold War hayapo ila ila kilichopo ni baadhi yetu sisi wananchi kukataa kuburuzwa na ku-stand firmly on the ground, tunaweza kujadili ishus wka ustaarabu na tunaweza pia the otherside maana wote hapa ni watu wazima watoto hawapo hapa, sasa tupeni elimu au endeleeni kutupa hizi rants za personal ambazo hazituelimishi na wala hazitenganishi nani ni nani period!
 
Endapo habari za vifo vya watu karibu ishirini kwenye ukumbi wa NSSF zitakuwa ndivyo zilivyo mtu wa kwanza kuwajibika itabidi awe Mkurugenzi wa NSSF Dr. Ramadhani Dau.

Mkuu sioni Dau anahusika vipi wakati sheria ya occupiers liability inampa liability mwendeshaji wa ukumbi na sio mmiliki wa jengo.Ingekuwa watoto wamekufa kutokana na kitu kudondoka katika jengo hilo yaani fault ya jengo inayotokana na ubovu wa miundo mbinu ulisababishwa na uzembe wa NSSF katika construction hapo sawa,lakini taarifa za magazeti zinasema ukumbi huo unae mwendeshaji,that means umekodishwa kwa mtu mwingine, huyo mtu ndio yupo responsible kwa security ya eneo alilolikodisha. In this respect i beg (for the first time) though with due respect to differ,unless more explanation are brought to my attention through jf.Salama mkuu lakini?
 
Asha Abdalah(mdee),acha kuwazuga watu,jamaa yako amejikita moja kwa moja kwa Dr Dau ajiuzulu,ilikuwa yeye kwanza aseme hayo unayo yasema wewe sasa,na sio kuwa dr Dau ajiuzulu.
Offisciual report ya serikali imekili kuwa watu 40 walikuawa na polisi kimakosa pemba,je nani alijiuzulu?Mv Bukoba zaidi ya watu 1000 alikufa nani alijiuzulu?Na waziri mkuu alikuwa Sauzi ana kula kuku.Tumekuwa tukishuhudi kila siku,watu kadha wamekufa katika ajali ya mabasi au malori na ajali nyingine mablimbali,mbona Waziri Masha hajajiuzulu?Asha Abdala(mdee) acha zako hizo,wewe ni mdau wa Mzee Mwanakijiji aliye kosa hekima,ameamua kujampu mkaka ktk CONCLUSION.
Kwenye Maslahi ya nchi acheni kuweka mbele chuki zenu binafsi na maslahi yenu binafsi,Mzee Mwanakijiji tunajua una njaa,na unataka kuuza gazeti lako,lakini mambo haya hayaendi kiholela holela.
Ulitokea upasuaji tata Muhimbili,mbona waziri hakujiuzulu wala mkurugenzi mkuu?
Yametoka mauaji ya wafanya biashara wa madini,mbona waziri hakujiuzulu?
nadhani Mzee Mwanakijiji umeishiwa,chuki zako weka pembeni,tunakujua kuwa wewe mtu wa Dr Masau.
Ninakusisitizia tena LETE HOJA SIO VILOJA(UTACHEKWA KWA VILOJA VYAKO)

Mkuu hapa ni majadliano sio visasi na hasira,mbona unaonekana mwenye jazba?toa hoja mwanakijiji au asha abdallah atajibu na kwa jinsi hiyo kama ni ushindi utapimwa kwa hoja
 
Ahsante mkuu kwa kuliweka hilo wazi kwamba tupatiwe elimua ya hii ishu, kama NSSf ni wakodishaji tu wa jengo na sio wamiliki wa jengo, basi mkurugenzi wa NSSf kwa maoni yangu hahusiki na anything kuhusiana na kuanguka kwa jengo, lakini kama jengo ni mali ya NSSF basi NSSF wanahusika directly na hivi vifo kama vimetokea kweli maana bado sijathibitisha, lakini bado tunazifuatilia hizi habari kwa makini na karibu sana!
 
Tatizo mwanakijiji umekuja na clue bila ya taarifa zaidi kuhusu vifo hivyo ambazo naamini unazo. Wanaokujibu kwa kukushambulia nao wanafanya hivyo kwa kutumia 'uzoefu' wa 'bifu' bila kuzingatia kilichoandika.
This is very sad stori, Mwanakijiji please come out with the info
 
Mimi nadhani ni mapema mno kuweka conclusion kama ya mwanakijiji.Busara na subirah ni vitu vya pekee sana kabla ya kutoa maamuzi.Hamna ambaye mpaka sasa ameweza kutoa dataz za uhakika kuhusu mkataba, je ukumbi ulikuwa kwa watu wangapi.Uzoefu unaonyesha kumbi kama hizo huwa zinatumika kwa mikutano na kama ni jengo la ghorofa linakuwa na limitation ya idadi ya watu.Hivyo basi tusubiri ripoti itasemaje!Na mengi kudhihiri.

Mwanakijiji anamuandama Dau,hajui Dau ameikuta NSSF katika hali gani na mpaka sasa imekuwa ktk hali hii.Si maanishi kuwa kama amefanya kosa asiwajibike la hasha,anastahiki kuwajibika kama wanavyostahiki viongozi wengine.Ila nadhani kuna hiden agenda ya mwanakijiji dhidi ya Dau na ninawasiwasi mwanakijiji anachuki binafsi na Dau.Tusiwe bias,ili tupate heshima ni llazima muda wote tuwe wa kweli na tusimame kwenye haki.Isiwe kwakuwa una interest unaropoka tu Dau ajihudhuru.La,busara mbele Daima.

Vuta subirah time will tell na ukweli ndipo utakuja kudhihiri.
 
Na utaona sasa hivi kakaa kimyaa,lete data sio jazba,jazba zako hazisaidii kitu.kuna kitu kinaitwa OCCUPIERS LIABILITY,je unajua maana yake ni nini?acha jazba zako,CHADEMA HOYEEE!!!!
 
kurupukeni tu na kunifanya mimi hoja. I still stand on my original statement. NSSF inawajibika kwa yale yaliyotokea huko. Swali la kwanza ambalo mnatakiwa kujibu:

a. Jengo lililotumika kama disco club lilijengwa kwa ajili ya shughuli hiyo? Na lilipokodishwa lilifanyiwa mabadiliko ya kuwa na facilities za ukumbi? Je mkataba kati ya NSSF na hao waendesha hilo "disco" ulisimamiwa kwa kiasi gani?

Dr. Dau lazima awajibike. Na hadi hivi sasa sijasema ajiuzulu! I have no idea watu wamepata wapi hilo wazo, ila sasa you planted it in me let me think of a way to put it.
 
Hebu mwacheni mwanakijiji wangu nyie wadau wa DAU!

Swali la msingi la kujiuliza, je UKUMBI HUO ULIJENGWA NA NSSF KIMUUNDO WA UKUMBI WA DISCO? Kama hapana lazima safety and emergency measures zitakuwa zimekiukwa.

Hivyo, aliyeingia mkataba wa DISCO atakuwa ametengeneza chumba cha mauaji, I mean Killing rooms.

Dharura ikitokea like umeme kukatika au moto wote wanakua kwenye pa kuuliwa.

Kwa hiyo tuelezwe kwanza, ukumbi ukoje? Isije ikawa ni wa swala ya iddi wao wameugeza wamuziki wa watoto wetu wengi

Asha

Can somebody from NSSF clear this messy from a woman please?

..thatsthenews
 
kurupukeni tu na kunifanya mimi hoja. I still stand on my original statement. NSSF inawajibika kwa yale yaliyotokea huko. Swali la kwanza ambalo mnatakiwa kujibu:

a. Jengo lililotumika kama disco club lilijengwa kwa ajili ya shughuli hiyo? Na lilipokodishwa lilifanyiwa mabadiliko ya kuwa na facilities za ukumbi? Je mkataba kati ya NSSF na hao waendesha hilo "disco" ulisimamiwa kwa kiasi gani?

Dr. Dau lazima awajibike. Na hadi hivi sasa sijasema ajiuzulu! I have no idea watu wamepata wapi hilo wazo, ila sasa you planted it in me let me think of a way to put it.

Unaposema mtu fulani lazima awajibike hususan huyo mtu akiwa kwenye nafasi ya uongozi, kitu cha kwanza kinachoingia akilini au kwenye mawazo ya mtu ni unamaanisha ajiuzulu. Kuwajibika na kujiuzulu (especially when something has gone wrong) are interchangeable in minds of many people. Sasa wewe unaposema ni lazima Dr. Dau awajibike una maana gani? Aombe msamaha halafu aendelee na kazi yake? Ajitolee mshahara wake wa mwezi uende kwa ndugu za wafiwa? Afukuze watu walio chini yake? Ajiuzulu kwa sababu ameshindwa kufanya kazi yake au? Kuwa specific otherwise watu watadhani ndicho unachomaanisha. Unapoanza kucheza sarakasi za semantics haisaidii kitu. Be specific, unambiguos, clear, concise and direct to the point and you'll save yourself a lot of criticism(s) (even though you say you don't care).
 
mimi nina ombI moja TU kwa ADMIN na MODS

Tafadhalini msiiondoe hii thread wala kuibadilisha heading kwa sababu its quite obvious kuwa huyu mwanzilishi wa hii thread anazo data na hoja nzito za kutosheleza kujitetea...japo mimi najua kuwa Mwana kijiji has got some scores to settle tangu ile issue ya NSSF vs DR MASAU

so this should be an interesting one...kaeni mkao wa kula wana JF!

Lakini heading kama imeshabadilika tayari au ni makengeza?
 
Unaposema mtu fulani lazima awajibike hususan huyo mtu akiwa kwenye nafasi ya uongozi, kitu cha kwanza kinachoingia akilini au kwenye mawazo ya mtu ni unamaanisha ajiuzulu.

Ningetaka kusema "ajiuzulu" unajua nisingesita. Nachagua maneno yangu vizuri.

Kuwajibika na kujiuzulu (especially when something has gone wrong) are interchangeable in minds of many people.
\

Sina uwezo wa kutawala watu wanafikiria nini nikisema jambo. Naweza kusema kitu na watu elfu moja na moja wakafikiria vitu 200.

Sasa wewe unaposema ni lazima Dr. Dau awajibike una maana gani?

Smart.. umekuwa wa kwanza kuuliza swali ambalo wataalamu wa ukosoaji hawakuthubutu kuniuliza na badala yake kurusha madongo yao ya chuki na sumu yao ya hasira. Nitafafanua nikimaliza kutengeneza hoja.

Aombe msamaha halafu aendelee na kazi yake? Ajitolee mshahara wake wa mwezi uende kwa ndugu za wafiwa? Afukuze watu walio chini yake? Ajiuzulu kwa sababu ameshindwa kufanya kazi yake au? Kuwa specific otherwise watu watadhani ndicho unachomaanisha.
\

U see! kumbe kuna namna nyingi za kuwajibika; kwanini watu wamefikilia kujiuzulu unless na wao wanaombea hicho kitokee. Sijatumia neno kujiuzulu lakini since you brought it up, well let see...

[/quote]Unapoanza kucheza sarakasi za semantics haisaidii kitu. Be specific, unambiguos, clear, concise and direct to the point and you'll save yourself a lot of criticism(s) (even though you say you don't care).[/QUOTE]

Nimeshakuwa specific vya kutosha; halafu kuhusu criticism it doesn't much about me, inasema zaidi kuhusu hao critics kwa sababu hakuna aliyesoma mistari hiyo miwili niliyoandika badala yake kukurupuka kunishambulia wakifikiri wako kwenye mawazo yangu. Siyo kila wakati mtu utafuniwe na mwisho umezewe. Mabadiliko ya fikra yanaanza kwa kubadili jinsi tunavyofikiri.
 
Ningetaka kusema "ajiuzulu" unajua nisingesita. Nachagua maneno yangu vizuri.

\

Sina uwezo wa kutawala watu wanafikiria nini nikisema jambo. Naweza kusema kitu na watu elfu moja na moja wakafikiria vitu 200.



Smart.. umekuwa wa kwanza kuuliza swali ambalo wataalamu wa ukosoaji hawakuthubutu kuniuliza na badala yake kurusha madongo yao ya chuki na sumu yao ya hasira. Nitafafanua nikimaliza kutengeneza hoja.

\

U see! kumbe kuna namna nyingi za kuwajibika; kwanini watu wamefikilia kujiuzulu unless na wao wanaombea hicho kitokee. Sijatumia neno kujiuzulu lakini since you brought it up, well let see...
Unapoanza kucheza sarakasi za semantics haisaidii kitu. Be specific, unambiguos, clear, concise and direct to the point and you'll save yourself a lot of criticism(s) (even though you say you don't care).[/QUOTE]

Nimeshakuwa specific vya kutosha; halafu kuhusu criticism it doesn't much about me, inasema zaidi kuhusu hao critics kwa sababu hakuna aliyesoma mistari hiyo miwili niliyoandika badala yake kukurupuka kunishambulia wakifikiri wako kwenye mawazo yangu. Siyo kila wakati mtu utafuniwe na mwisho umezewe. Mabadiliko ya fikra yanaanza kwa kubadili jinsi tunavyofikiri.[/QUOTE]

Mwanakijiji, watu wamefikiria kujiuzulu kwa sababu umesema "awajibike" ukiwa na maana afanye hivyo kwa hiari yake. Kwa nini isiwe "awajibishwe"? Kwani yeye hana bosi? Na mara nyingi kiongozi anapotakwa "awajibike" maana yake ni kwamba aachie ngazi. Sasa ni wazi kuwajibika sio kujiuzuru tu. Kuna namna nyingi za kuwajibika lakini wengi tunahusisha uwajibikaji wa ki(vi)ongozi na kujiuzuru. Eniwei, we are all entitled to our opinions.....
 
Mwanakijiji, watu wamefikiria kujiuzulu kwa sababu umesema "awajibike" ukiwa na maana afanye hivyo kwa hiari yake. Kwa nini isiwe "awajibishwe"? Kwani yeye hana bosi? Na mara nyingi kiongozi anapotakwa "awajibike" maana yake ni kwamba aachie ngazi. Sasa ni wazi kuwajibika sio kujiuzuru tu. Kuna namna nyingi za kuwajibika lakini wengi tunahusisha uwajibikaji wa ki(vi)ongozi na kujiuzuru. Eniwei, we are all entitled to our opinions.....

Nyani, unafikiri ningetaka kusema "ajiuzulu" ningeshindwa; c'mmon now. Nilichosema nimemaanisha na ningetaka kumaanisha vinginevyo ningesema. Kwa kusema "awajibike" nimefungua mlango mpana mno kwa yeye kuwajibika. Kujiuzulu ni mlango mmoja tu na sikutaka nimchagulie mlango huo.

Dr. Mwakyembe hakuitisha Lowassa ajiuzulu lakini guess what baada ya yeye mwenyewe kupima uzito wa madai dhidi ya ofisi yake aliamua kujiuzulu. Hawa waliokurupuka kunipiga madongo hawakusoma nilichosema na badala yake they projected their own biases and fears kwenye maneno yangu na kuyafanya yamaanishe nisichomaanisha. Wanadai wengine sisi ni waandishi uchwara wakati wao ukosoaji wao is fundamentaly based on sheer and collosal ignorance of the argument.
 
Nyani, unafikiri ningetaka kusema "ajiuzulu" ningeshindwa; c'mmon now. Nilichosema nimemaanisha na ningetaka kumaanisha vinginevyo ningesema. Kwa kusema "awajibike" nimefungua mlango mpana mno kwa yeye kuwajibika. Kujiuzulu ni mlango mmoja tu na sikutaka nimchagulie mlango huo.

Dr. Mwakyembe hakuitisha Lowassa ajiuzulu lakini guess what baada ya yeye mwenyewe kupima uzito wa madai dhidi ya ofisi yake aliamua kujiuzulu. Hawa waliokurupuka kunipiga madongo hawakusoma nilichosema na badala yake they projected their own biases and fears kwenye maneno yangu na kuyafanya yamaanishe nisichomaanisha. Wanadai wengine sisi ni waandishi uchwara wakati wao ukosoaji wao is fundamentaly based on sheer and collosal ignorance of the argument.

Sio wengi wenye uwezo wa kukuelewa Mwanakijiji. Hao wanaojifanya wana high IQ ni mabingwa wa ku-challenge, lakini sio ku-reason properly. Hao ndio wabongo bwana, tena wenye PhD.

Tanzania and Zimbabwe have a relatively higher number of cabinet ministers with PhD. And these two cabinets are among the worst in performance under the sun.
 
Back
Top Bottom