Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,227
- 30,466
Something just doesn't feel right about this whole story! Kwanza kwa nini hawatoi majina ya abiria waliopanda ndege - kwa kawaida hicho ndicho kingekuwa kitu cha kwanza kutagazwa, kuna watu walio kuwa karibu na sehemu hiyo wanasema walisikia mlipuko alafu muda kidogo wakaona ndege za kivita zikikatiza!!
Wahusika hawesemi ukweli 4 a reason, jana hiyo hiyo karibu ndege 37 za NATO zilikuwa zinafanya mazoezi ya kufyatua air to air missiles zilizo hundwa USA ndege hizo zilikuwa zimezima transponder zake, ni ndege moja tu ya kivita ya Italy katika kundi hilo ndio iliwasha transponder yake na kusikia/ona emergency code #7700 kwenye cockpit yake - fighter Pilot wa Kitaliano aliwasha transponder yake baada ya kuona Germanwings Flight 9525 ikiporomoka kwa kasi kuerekea aridhini.
Jana hiyo hiyo Marubani wengi wa Kijerumani walikataa kurusha ndege za kiraia wakiofia mazoezi ya kivita (NATO) yanayo ratibiwa/simamiwa na US ndani ya Taifa lao na some Baltic States.
Binafsi naona huyo dogo wanamsingizia tu, haiwezekani mtu mwenye matataizo ya akili aka-switch on emergency code- kama shida yake ilikuwa ku-commit suicide kwa nini aliomba msaada.
Wazee wa conspiracy theories