Vifo 150 ni makusudi ya Rubani Ufaransa

Vifo 150 ni makusudi ya Rubani Ufaransa

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,623
Reaction score
1,096
Imethibitishwa kuwa rubani mdogo wa ndege Ufaransa aliingilia mitambo kwa makusudi na kuangusha ndege milima ya Alps wiki hii.

Kabla alimfungia nje rubani mkuu na kuishusha na kugonga ndege hiyo milinani.

150326084248_nini_kiliikumba_ndege_ya_ujerumani_624x351_bbc_nocredit.jpg

Uchunguzi wa awali wa sauti zilizokuwa ndani ya kifaa cha kurekodia sauti ya ndege iliyoanguka Ufaransa unaonesha kuwa moja wa marubani wa ndege hiyo alikuwa amefungiwa nje ya eneo la marubani wakati ndege hiyo ilipoanguka.

Aidha haijabainika kikamilifu alikuwa ameondoka kufanya nini lakini sauti zinasikika akibisha kwa nguvu akitaka ufunguliwe mlango.

Duru za kuaminika zinanukuliwa na jarida la New York Times.

Mkuu wa shirika la ndege la Lufthansa amesema kwa kinywa wazi kuwa kuanguka kwa ndege hiyo kuna hila hila.

''hakuna maelezo kamili ya kiini cha ajali hiyo ''

''Ndege hiyo ilikuwa imefanyiwa ukarabati majuzi tu wala haikuwa na hitilafu yeyote''.

CHANZO: BBC
 
Lakini si wote walikufa? Dah, kuna walakini hapo kwanini aliamua kufanya hivyo.
 
Huyo rubani nuksi sana.

Kama alitaka kujiua si angejimaliza nyumbani kwake?mambo gani hayo ya kutaka kysindikizwa na watu 150.

Hawa watu inabidi sasa wawe wanafuatiliwq kwa ukaribu sana, ata ile ya Malaysia ya kwanza bila shaka marubani walifanya hivi hivi.
 
Lakini si wote walikufa? Dah, kuna walakini hapo kwanini aliamua kufanya hivyo.

Kama mtu anaweza kuamua kujiua mwenyewe, na mtu anaweza kuwa na akili mbaya ya kutaka asife peke yake, afe na wengi, hakuna cha kushangaza hapo.

Hiki ni kitu ambacho nikiwahi kufikiria baada ya 9/11. Kwamba watu wanafanya juhudi sana kuhakikisha terrorist hawaingii na silaha kwenye ndege, lakini vipi siku moja kama pilot mmoja akaamua kuangusha ndege, akamtime mwenzake katika, akamfungia nje na juangusha ndege?

Watu wana ma frustration kibao socially, economically etc.

Nilichofikiria naona ndicho kilichotokea kama hizi habari ni sawa.
 
Aisee kwa kweli inasikitisha...sasa kwa wale tunaopenda kusafiri familia nzima ndo msala
 
Lakini si wote walikufa? Dah, kuna walakini hapo kwanini aliamua kufanya hivyo.

Na mimi nimejiuliza swali hilo
Ni kama yule wa ndege ya malasiya iliyopotea naye nasikia alimfungiaga mwenzio nje ya cockpit

nahisi aliaminishwa kujilipua si bure
 
That's the latest mystery stemming from the crash of Germanwings Flight 9525. Audio from the plane's cockpit voice recorder reveals one of the pilots trying to smash down the cockpit door in the minutes before impact, The New York Times reported, citing an official involved in the investigation.

Geoffrey Thomas, editor-in-chief and managing director of airlineratings.com, said the cockpit door has three positions -- locked, normal and unlocked. Locking the door prevents a pilot from using a keypad and emergency code to get in.
 
Kama mtu anaweza kuamua kujiua mwenyewe, na mtu anaweza kuwa na akili mbaya ya kutaka asife peke yake, afe na wengi, hakuna cha kushangaza hapo.

Hiki ni kitu ambacho nikiwahi kufikiria baada ya 9/11. Kwamba watu wanafanya juhudi sana kuhakikisha terrorist hawaingii na silaha kwenye ndege, lakini vipi siku moja kama pilot mmoja akaamua kuangusha ndege, akamtime mwenzake katika, akamfungia nje na juangusha ndege?

Watu wana ma frustration kibao socially, economically etc.

Nilichofikiria naona ndicho kilichotokea kama hizi habari ni sawa.

It's unclear which of two pilots may have left the cockpit, and why. Perhaps he needed to use the restroom. Perhaps he wanted a beverage. Perhaps he went to chat with passengers.
Regardless, when he tried to come back, the other pilot didn't let him into the cockpit, the official told the Times.
 
That's the latest mystery stemming from the crash of Germanwings Flight 9525. Audio from the plane's cockpit voice recorder reveals one of the pilots trying to smash down the cockpit door in the minutes before impact, The New York Times reported, citing an official involved in the investigation.

Geoffrey Thomas, editor-in-chief and managing director of airlineratings.com, said the cockpit door has three positions -- locked, normal and unlocked. Locking the door prevents a pilot from using a keypad and emergency code to get in.

Tayari Prosecutor wa serikali ametoa ripoti yake rasmi ya awali na kuthhirisha hayo.
 
Back
Top Bottom