Mi mwenyewe ningeshangaa hayo mambo ya kukimbilia ofa umeanza lini..lol
Umenisuta ngoja na mimi niweke japo salam
Hajambo wote mnaopitia uzi huu kwa sasa
Kuna vya kuchangia na vingine sio vya kugusa kabisa ni hatariiii sana unaweza ramba BAN
bila matarajio.............labda huku nitachangia lakini kuna majukwaa hatari kabisa ni kusoma
na kupita tu..........
wengine wanaacha kucoment ili walinde heshima zao kutokana na aina ya thread,wengine uvivu,mwingine hawezi akacoment kwa sababu haelewi kinachoulizwa au hana huo utaalamu,ndo mana wanabaki kusoma
sasa kama jukwaa la funzadume na kimbweka sijui utachangia nini kule.
ila muda wa kula chabo wanao...?