Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Mimi ni muajiriwa wa kampuni X, ila kiukweli mshahara ni mdogo sana nalipwa 250/month.
kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.
Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.
Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.
Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.
Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.
Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.
Nipo Dar es Salaam.
kiukweli hii pesa nashindwa kuigawa coz ni ndogo, 90% inaisha kwenye kula na matumizi mengine madogo madogo. Ni changamoto kiasi kwamba nashindwa hata kununua aset za ndani sababu pesa yote inakwisha najikuta hata akiba sina kabisa ukiweka kodi na mambo mengine.
Kutokana na ugumu ninaopitia imenifanya nijiweke kando kabisa na masuala ya mahusiano sababu kiuchumi sipo vizuri, pamoja na yote hayo lakini bado kusave pesa inakuwa changamoto.
Ndugu zangu najua humu kuna watu wanapitia changamoto kama zangu au walishazipitia hivyo wana uzoefu wa kutosha namna ya kusurvive kwa kiwango hiki cha mshahara, na ni vipi unaweza kujiongezea kipato kupitia mshahara kama huu niupatao.
Hivyo nahitaji mawazo yenu ni vipi naweza kujianzishia hata kibiashara kidogo kupitia mshahara huu na nikakuza kipato changu coz mzigo nilionao ni mzito sana.
Naomba ushauri na mawazo yenu ndugu zangu coz JF ni mtandao mpana wenye watu waelewa na mitazamo mikubwa.
Note: Naweza nikajibana bana kibishi nikafikisha laki 5 endapo nitapewa wazo chanya la biashara.
Nipo Dar es Salaam.