vietel ni mtandao mpya wa simu kutoka vietnam ambao unatarajia kuzindua huduma zake septemba mwaka huu,mtandao huu kwa sasa wanakaribia kukamilisha zoezi la kutandaza minara nchi nzima.
Vietel ni mtandao ambao unatumia kasi ya 3g na 4g lakini pia garama ya mawasiliano itakua chini kabisa ambapo kila mtanzania atakua na uwezo wa kumudu mawasiliano bila tatizo.
Viatell inatarajia kuleta simu zao za smartphone ambazo watauza kwa bei nafuu kabisa ambapo simu ya laki mbili wao watauza elfu thelathini.
Viatell itapatikana nchi nzima vijijini na mijini kwa kasi ile ile na ubora ule ule.
Watanzania sasa mmepata mtandao mzuri na wenye faida.
Kwaheri vodacom, tigo na airtel