Vidonge vya viagra vyamtoa mtu uhai

Vidonge vya viagra vyamtoa mtu uhai

Mtu mmoja ambaye kwa sasa ni marehehu, Dalali wa mbao Buguruni alifariki usiku wa kuamkia tarehe 17/03/2016 huko Tabata jijini Dar es salaam.

Ripoti ya Daktari inasema marehemu alitumia dose kubwa kuliko uwezo wake ambayo ilimsababishia umauti.

Marehemu alikuwa ameoa/mme wa mtu lakini tukio hili lilimkuta akiwa kwa nyumba ndogo, ambapo baada ya kuona jamaa anaishiwa nguvu na kutokwa na jasho jingi ilimbidi atafute Taxi amuwaishe jamaa hospitalini, lakini bahati mbaya mauti yalimkuta kabla ya kufiki Hospitalini.

Mmoja wa rafiki wa marehemu alisikika akisema; jamaa jana nilikuwa naye tunacheza pool mpaka saa 1:30 jioni, ambapo aliniaga kuwa anaelekea Ilala kuna deal anafuatilia.

Lakini mshikaji alionekana kutokwa na jasho sana kuliko kawaida kumbe alikuwa amekwishatunia hayo madude, alimalizia.

Angalizo: kabla hujatumia hizo dawa ni vyema ukapata ushauri wa Kitabibu.
Sasa hapo Mke wa marehemu sijui atasikitika ama sijui atachukua uamuzi gani? Maana jamaa kafia Nyumba ndogo!!
 
Mtu mmoja ambaye kwa sasa ni marehehu, Dalali wa mbao Buguruni alifariki usiku wa kuamkia tarehe 17/03/2016 huko Tabata jijini Dar es salaam.

Ripoti ya Daktari inasema marehemu alitumia dose kubwa kuliko uwezo wake ambayo ilimsababishia umauti.

Marehemu alikuwa ameoa/mme wa mtu lakini tukio hili lilimkuta akiwa kwa nyumba ndogo, ambapo baada ya kuona jamaa anaishiwa nguvu na kutokwa na jasho jingi ilimbidi atafute Taxi amuwaishe jamaa hospitalini, lakini bahati mbaya mauti yalimkuta kabla ya kufiki Hospitalini.

Mmoja wa rafiki wa marehemu alisikika akisema; jamaa jana nilikuwa naye tunacheza pool mpaka saa 1:30 jioni, ambapo aliniaga kuwa anaelekea Ilala kuna deal anafuatilia.

Lakini mshikaji alionekana kutokwa na jasho sana kuliko kawaida kumbe alikuwa amekwishatunia hayo madude, alimalizia.

Angalizo: kabla hujatumia hizo dawa ni vyema ukapata ushauri wa Kitabibu.

R.I.P. Marehemu.
Kwa wanaume tuliobaki tuelewe kwamba dawa za kuongeza nguvu za kiume ni hatari na zinaathari nyingi sana, ni vyema kupata ushauri wa kitaalam ndipo ufanye uamuzi sahihi.
Kiasili kabisa dawa hizi (Sildenafil) zilikuwa kwa ajili ya watu ambao walikuwa na tatizo la moyo na shinikizo la damu (presha), sasa mtu akitumia siku hizi kwa ajili ya nguvu za kiume basi ajue kabisa mapigo ya moyo wake na presha yake ni lazima viathirike.
Mtu anatakiwa asizidishe milligram 100 (100mg) kwa siku. Vinginevyo matatizo makubwa yanampata, makubwa kuliko kifo.
 
Tendo la ndoa ni Starehe na sio Jukumu..... Fanya kadri ya uwezo wako.
 
Inasikitisha tatizo hili kuwa kubwa kiasi hiki, nivema mtu binafsi kuchukua hatua ya kuwa natural... Means kula vyakula natura,mazoezi napia kujiepusha Na punyeto, porngrahc kidgo hapo huwez fikili kuhusu viagra coz tatizo huanzia kwenye fikra ya mtu
 
Huyu ni Kama Yule Wa Bukoba Mmiliki wa Ukumbi Maarufu wa Linas!nae Alikunywa Value sijui Valuu,alipiga la kwanza,la pili akakaukia kifuani mwa ch*ngu!mie sina hiana,nakula kwa urefu wa kamba yangu...
 
Back
Top Bottom