DISGUISE16
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 372
- 261
Wanawake huwa hawafiki vileleni! Hufekisha tu! Mambo ya kujifua kuwaridhisha wao ni kujiumiza tu!
LA hasha sijamaanisha hilo Bali lile goli lenyewe kabisa. Tatizo sisi wanaume tunajifanya mafundi kupitiliza. Upo na manzi piga mzigo kwa ewezo basiunamaanisha goli la mkono au
Mkuu umesahau msemo wa wahenga "Punda afe mzigo ufike"?Katika harakati za kuwafikisha wanawake vileleni vijana huwa hata uhai wao hawauthamini kabisa....wao lengo lao ni kuwafikisha vileleni tu hata kama wao wataishia njiani......
Hahahaa ni kweli MkuuJuhudi, ubunifu na ujasiri wanaoutumia vijana katika kuwafikisha wanawake vileleni...wangekuwa wanavitumia kwenye kuyasaka mafanikio kwa hakika tungekuwa na mabilionea kama utitiri......
Kweli mkuu na punda kweli wanakufa....lakini mizigo haifiki.....Mkuu umesahau msemo wa wahenga "Punda afe mzigo ufike"?
Point nzuriJuhudi, ubunifu na ujasiri wanaoutumia vijana katika kuwafikisha wanawake vileleni...wangekuwa wanavitumia kwenye kuyasaka mafanikio kwa hakika tungekuwa na mabilionea kama utitiri......
Hahaha mkuu, kuna mademu wengine wanahitaji heavy weapon to kill the vibe,sio kila demu she is enjoy one shot.tho may he R. I. Paisee bora ukojoe dakika moja demu akudharau kuliko hiyo, ngoja akachimbue visiki huko
aisee piga kwa uwezo uliojaaliwa vinginevyo nenda hosp. mbona hili tatizo linatibika tu ila ukitaka shortcut ndo hivyoHahaha mkuu, kuna mademu wengine wanahitaji heavy weapon to kill the vibe,sio kila demu she is enjoy one shot.tho may he R. I. P