Vidonge vya kuzuia mimba kwa wanaume

Vidonge vya kuzuia mimba kwa wanaume

hahaaa ambiele na ujanja wote uleee kumbe naye anachapiwa ..ama kwli yle mambo hayana mwenyew
Usihamishe mada wewe!![emoji2] hata wewe unaweza chapiwa tofauti hujaambiwa tu ana mimba
 
Usihamishe mada wewe!![emoji2] hata wewe unaweza chapiwa tofauti hujaambiwa tu ana mimba
hahaaaa ....mimi sio mjanja kama ambikile ...so hata nikichapiwa nisawa tu ...hahaaa "" yaani nisawa sawa usikie kuwa president kachapiwa. ndio ilivyo kwa ambikile ...haaaahaaa
 
hahaaaa ....mimi sio mjanja kama ambikile ...so hata nikichapiwa nisawa tu ...hahaaa "" yaani nisawa sawa usikie kuwa president kachapiwa. ndio ilivyo kwa ambikile ...haaaahaaa
Hahaha wavilete chap..
 
wanaume hatuna haja ya izo vitu vya kihanith ,kama umeshindwa kuwithdraw , bora uwe padre


Hahaha! Ku-withdraw mambo ya shuleni, unadanganya nita withdraw halafu unaseleleka tu hadi drop za mwisho! Kama kuna wanawake watu wazima wanakubali kuzuia mimba kwa ku-withdraw basi kwa kweli nawaonea huruma!

Hivi wewe Unbounced una miaka mingapi lakini, uko form two?
 
Vidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana.

Hii imekaeje Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?

Mimi nadhani njia pekee itakayokuwa effective kwa wanaume kuzuia wasiwape mimba wanawake pamoja na wake zao ni ku-amputate dushulele zao. Period. Mengine yote ni kujidanganya.
 
Hahaha! Ku-withdraw mambo ya shuleni, unadanganya nita withdraw halafu unaseleleka tu hadi drop za mwisho! Kama kuna wanawake watu wazima wanakubali kuzuia mimba kwa ku-withdraw basi kwa kweli nawaonea huruma!

Hivi wewe Unbounced una miaka mingapi lakini, uko form two?
"Nilikua nasubiri vibwengo wakojoa kama kuku waje kuropoka ,,,,gem yako ya sekunde mbili utawithdraw saa ngapi ?hutokaa uweze hii ni wababe wachache mjini tunaiweza
 
Vidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana. Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Sasa hivi, majaribio yanaendelea kwa binadamu na matokeo ya utafiti yanatarajiwa kutolewa muda si mrefu na chuo hiko.


Hii imekaeje
Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?
Alafu mwanamke atakunywa nini?? Yeye si ndio mbeba mimba? Au kuna wanaume wanashika mimba siku hizi??
Huninyweshi huu upuuzi.
 
Back
Top Bottom