Vidonge vya kuzuia mimba kwa wanaume

Vidonge vya kuzuia mimba kwa wanaume

floow

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2017
Posts
411
Reaction score
858
Vidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana. Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Sasa hivi, majaribio yanaendelea kwa binadamu na matokeo ya utafiti yanatarajiwa kutolewa muda si mrefu na chuo hiko.


Hii imekaeje
Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?
 
Vidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana. Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Sasa hivi, majaribio yanaendelea kwa binadamu na matokeo ya utafiti yanatarajiwa kutolewa muda si mrefu na chuo hiko.


Hii imekaeje
Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?
Mwanaume atakayevitumia ataishia kuwa shoga
 
Nguvu zenyewe zimepungua halafu unaleta vidonge . unajielewa kweli
 
Kwan wanaume wanapata MIMBA?

Tuanzie hapo kwanza!
 
Back
Top Bottom