Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Sitii neno tena kiongozi! [emoji40] [emoji40]Siku hazifanani mkuu, na ndiomaana kuna tofauti kubwa kati ya Mbingu na ardhi, mafuta na maji, chungu cha kupikia na chungu ukimeza.....tehteehh
Sitii neno tena kiongozi! [emoji40] [emoji40]Siku hazifanani mkuu, na ndiomaana kuna tofauti kubwa kati ya Mbingu na ardhi, mafuta na maji, chungu cha kupikia na chungu ukimeza.....tehteehh
Vitaleta shida sana maana mimba nyingi tutazikagaa kwa kisingizio cha dawaVidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana. Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Sasa hivi, majaribio yanaendelea kwa binadamu na matokeo ya utafiti yanatarajiwa kutolewa muda si mrefu na chuo hiko.
Hii imekaeje
Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?
Lazima zitakuwepo labda kutanuka kwa kifua na kuota nyonyo
kwan vnazuia ngoma?Hiii Sasa kali condom ztakosa soko
Na watakuwa maboya au wanaoshinikizwa na mashangingi yao.Wanaume watakao vitumia, wajiandae kwa mabadiliko ya mwili kama kuongezeka matiti, kuongezeka kwa makalio, hips na kadhalika....tehteehh
Hii itakuwa powa sana, nimeiwaza jana tu kumbe inawezekana? Afadhali aisee maana kuna videmu unajua asimia mia kuwa viko salama kugonga without lakini kikwazo ni mimba unajikuta unavaa naniii kwa shingoupande tu wala huinjoi kabsaaa.Vidonge vya kuzuia mimba maalumu kwa wanaume viko mbioni kupatikana. Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Sasa hivi, majaribio yanaendelea kwa binadamu na matokeo ya utafiti yanatarajiwa kutolewa muda si mrefu na chuo hiko.
Hii imekaeje
Je ? Nisahii mwanaume kutumia vidonge vya uzaz Wa mpango, endapo vitaruhusiwa rasmi?
wala si utani Nnjomba NchumaliKwa ushamba wetu waafrika tutakimbili vdonge hivyo.
Kunimimbe ndio nn thatha?Mie nataka nikumimbe .
Yaaan ilo tumbo lako zuri zuri ilo lenye ngozi laini km mtoto mchanga ,nataka libebe mwanangu.Kunimimbe ndio nn thatha?
[emoji134][emoji134]Yaaan ilo tumbo lako zuri zuri ilo lenye ngozi laini km mtoto mchanga ,nataka libebe mwanangu.
Haswaaaa jiandae tu aiseee !!! Tena wakike .[emoji134][emoji134]
Hun tinavyotaka kufyatua kina Jr 7 haya mambo yaishie huko hukoMwanaume atakayevitumia ataishia kuwa shoga
[emoji23][emoji23] ..vidonge vinakuhusu ivyo..sitaki unimimbeHaswaaaa jiandae tu aiseee !!! Tena wakike .