DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,305
- 2,719
Hiii Sasa kali condom ztakosa soko
Ngoma haiepukiki.
Hiii Sasa kali condom ztakosa soko
Dhoooo hakuna jemaNgoma haiepukiki.
Shughuli pevu ngoja na wao wafumuke miili na kuwa na shepu kama simtank
Chuo Kikuu cha Washington tayari kimefanyia majaribio dawa hizo kwa kutumia nyani na kupata matokeo makubwa. Hii imekaeje
Kwahiyo nyinyi hamko tayari kuwasaidia wake zenu kuzuia mimba? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie situmii upumbavu huo[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Wanaume watakao vitumia, wajiandae kwa mabadiliko ya mwili kama kuongezeka matiti, kuongezeka kwa makalio, hips na kadhalika....tehteehh
Nikioa nitakuja kuleta mrejesho mkuu....tehteehhKwahiyo nyinyi hamko tayari kuwasaidia wake zenu kuzuia mimba? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ok, bila shaka mrejesho wako utaambatana na namna utakavyokuwa unatumia hivyo vidonge vya kuzuia mimba.Nikioa nitakuja kuleta mrejesho mkuu....tehteehh
kuna mtu nataka nimtegeshee mimba kama demiss ili anioe kama ulivooa fasta naomba visivfike huku bongoMwanaume atakayevitumia ataishia kuwa shoga
Lahaulaaa lakwata.....[emoji47] [emoji47] [emoji47][emoji23] [emoji23] [emoji23] Ok, bila shaka mrejesho wako utaambatana na namna utakavyokuwa unatumia hivyo vidonge vya kuzuia mimba.
Bora leo hujabaki mdomo wazi![emoji12]Lahaulaaa lakwata.....[emoji47] [emoji47] [emoji47]
Ebu ngoja niishie hapa wallah
Lazima zitakuwepo labda kutanuka kwa kifua na kuota nyonyoMwanaume atakayemeza hicho kidonge sijui kama atapatikana Tanzania labda Wazungu. Side effects zake ni zipi?
Hahahaaakuna mtu nataka nimtegeshee mimba kama demiss ili anioe kama ulivooa fasta naomba visivfike huku bongo
Siku hazifanani mkuu, na ndiomaana kuna tofauti kubwa kati ya Mbingu na ardhi, mafuta na maji, chungu cha kupikia na chungu ukimeza.....tehteehhBora leo hujabaki mdomo wazi![emoji12]
Mie nataka nikumimbe .[emoji30]