View attachment 1871916
Napata shida sana kuangalia clips za marudio ya hii match. Napata shida kuona mpira ukichezwa kama vita na ugomvi. Najiuliza faida ya rafu hizi ni nini. Mbali na upinzani wa timu lakini wachezaji hawa ni washikaji na wote wanapigania uzima ili kujenga maisha yao. Sasa inakuwaje jitu linacheza rafu ya kiwango hiki bila kujali usalama wa wengine?
Zaidi najiuliza ni nani anawafundisha kufanya haya?haya yanaweza kuwa maelekezo ya mwalimu?
Hii timu sio ya kuombea mafanikio kabisa
Sumbwa ndio timu gani!?Anayesema yanga walicheza faulo mwanzo mwisho ni mpuuzi
Rafu walicheza wote na baadhi ya rafu refa alipeta yanga wakiongoza kwarafu 22 sumbwa wakiwa na rafu 17 kombe la Azam
Mechi ya tarehe 3 sumbwa waliongioza kucheza rafu .licha ya refa kupeta Sana rafu Za sumbwa
Sumbwa ni timu ilocheza na Yanga fainali kombe la AZAM FASumbwa ndio timu gani!?
Labda Walicheza na utopoloSumbwa ni timu ilocheza na Yanga fainali kombe la AZAM FA
Kumbe kejeli Tu ukweli unajuaLabda Walicheza na utopolo