Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,107
Nisha lile teke jamani....kama anapiga mwizi?
ahahaa kucheza hajui!!yaani yule dada nampendaga visa vyake
Nisha lile teke jamani....kama anapiga mwizi?
Jukwaa hili limenishinda aisee.
Mbona hakana tako sasa.
meninah sasa hivi amejiachia sana,ameshanenepa mpaka uzuri wake umepungua
Hamna kacheza kawaida tu sema wanampaisha tu..kiuno kigumu kile tako lenyewe hamna.
Nisha lile teke jamani....kama anapiga mwizi?
Teh alitanguliza mkono pale kati alifikiri taiti itapasuka nini
MLiitwa uku? Si umbea wenu ndo uliowaleta, ebu tutoleen vinyeo vyenu apa
Kumbe una nidhamu mbovu hivi heshima kitu cha bure ujue,usitafute umaarufu wa kijinga humu na usipende kuparamia kila mwanaume wengine waume za watu.
+Mi niliipenda hii ya Gigi money!
+Kweli sankoro imeleta balaa mjini
Uo umaarufu niutafutie kwako kwa kitu gani haswa? Wewe una kichaa sio bure.... Sasa ukiwa mwanaume wa mtu mimi nikusaidiaje? Au unawashwa?