Video ya Lulu yazua gumzo mitandaoni

Video ya Lulu yazua gumzo mitandaoni

Katingisha wapi,ana face nzuri ila kutingisha hawezi kiuno ngumu,mnaosema anajua kukatika labda mmeangalia video nyingine

Labda wanamwonea huruma kwa kuwa alifiwa....
 
Khaa!!usiniambie hujaona kama meninah ni mzuri??anyway kila mtu ana definition yake ya uzuri kwa vigezo vyake,kwangu mimi Meninah ni Mzuri sana.

Yule mtoto mzur bhana, sema akijifanya tomb boy ndo anaaribu aisehh, zile swaga zina wenyew, yule mrembo sana
 
Khaa!!usiniambie hujaona kama meninah ni mzuri??anyway kila mtu ana definition yake ya uzuri kwa vigezo vyake,kwangu mimi Meninah ni Mzuri sana.

Menina mzuri sana kwa macho yangu.
Ana rangi mwanana, tabasamu zuri, mguu mzuri, macho na lips nzuri sema tuuuu....
 
Mwache baba yangu....nakuomba muacheee binamuuuuu

Mwambie ajiheshimu nitamnyea mpaka achanganyikiwe, siogopi mtu wa aina yeyote humu mxiuuuu... nimekusikia binamu yangu aka mbea mwenzangu hahaha kwa heshima yako
 
Mwambie ajiheshimu nitamnyea mpaka achanganyikiwe, siogopi mtu wa aina yeyote humu mxiuuuu... nimekusikia binamu yangu aka mbea mwenzangu hahaha kwa heshima yako

Nashukuru binamu.Ujue sisi wambeya inabidi tuwe tunasikilizana ili mahitaji yetu yawekwe kwenye katiba.
 
Ila sasa ivi anataka kujifanya tomb boy anaharibu, nimeona video yake kwa diamond, big no kwa kwel, hayo mambo awaachie wenyewe.

Alitumia miguvuuu kama power mabula.
 
Menina mzuri sana kwa macho yangu.
Ana rangi mwanana, tabasamu zuri, mguu mzuri, macho na lips nzuri sema tuuuu....

ahahah!!hiyo tuuuuu.....ina walakini Ms.Lincon!!
Hata mimi nimekubali Meninah ni mzuri sana.
 
MLiitwa uku? Si umbea wenu ndo uliowaleta, ebu tutoleen vinyeo vyenu apa
Tatizo wanadhani ukiwa Jukwaa la Siasa ndo Great Thinker wakati wengine tumezeekea huko tangu enzi na enzi baadae tukajionea ni jukwaa linaloweza kukuzeesha mapema... jukwaa gani lile hata totoz za ukweli kama my Eshy m.s hamna!
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa meninah uko wapi?

according to Kimbley,
''kila mtu ana definition yake ya uzurikwa vigezo vyake''
..
Kwangu mimi uzuri wa mwanamke ni sura, tabia, background, halafu mwisho bed sex (Hapa sasa ni mpaka practical ifanyike:becky🙂
 
Last edited by a moderator:
Video ya muigizaji maarufu nchini, Elizabeth michael , aka lulu, imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo hasubuhi,ambapo msanii huyo alipo ipost kwenye ukurusa wake wa instagram. Video hiyo ikimuonyesha msanii huyo akicheza wimbo wa mwanamuziki maarufu nchini, diamond platnums, unaojulikana kama nana /sankoro, imewashangaza watu, haswa kwa uchezaji mzuri:thumbup: na style ya msanii huyo.

Wadau mbali mbali walimpongeza staa huyo, kwa uwezo wake wa kukizungusha kiuno na uchezaji wa aina yake, uliowafanya watu wengi wavutiwe na video hiyo, ambayo imezagaa kwenye mtandao maarufu wa instagram.

HBR hii inakufundisha nin... huu ni upuuz usio na maana kwa watu kama sisi..
 
Back
Top Bottom