Video ya Lulu yazua gumzo mitandaoni

Video ya Lulu yazua gumzo mitandaoni

Uo umaarufu niutafutie kwako kwa kitu gani haswa? Wewe una kichaa sio bure.... Sasa ukiwa mwanaume wa mtu mimi nikusaidiaje? Au unawashwa?

Binamu, acha izo bwana unatutukania wakwe zetu na babu zetu ujue?
 
Katingisha wapi,ana face nzuri ila kutingisha hawezi kiuno ngumu,mnaosema anajua kukatika labda mmeangalia video nyingine
 
Binamu...kama kiuno kigumu vile na ule mtumbo pale ndio kujua basi mahaba yamekutengua macho... kawaida kabisa.Wewe umeiona video ya Dinazarde?

Kweli tunatofautiana labda watu wameangalia video nyingine,sijaona sehemu kakata kiuno,ila ana face nzuri,kiuno kigumu hamna kitu pale.

Mi nimependa ya mashindike
 
Last edited by a moderator:
mbona kawaida sanaaaaaaaaa
hana maajabu yoyote

ndo anatafuta soko au?

kwa style ile...asitegemee kumpata wa kumuoa labda kipofuuu..
mara elfu ya wema sepetu....!!!!
 
mbona kawaida sanaaaaaaaaa
hana maajabu yoyote

ndo anatafuta soko au?

kwa style ile...asitegemee kumpata wa kumuoa labda kipofuuu..
mara elfu ya wema sepetu....!!!!

Ha ha ha kiuno pale hakuna kitu labda atuoneshe picha ya kitandani maana viuno vinatofautiana
 
Khaa!!usiniambie hujaona kama meninah ni mzuri??anyway kila mtu ana definition yake ya uzuri kwa vigezo vyake,kwangu mimi Meninah ni Mzuri sana.

Kiukweli mie namuona wa kawaida kabisaaaa labda hiyo shape yake ndio ni nzuri
 
Back
Top Bottom