Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,696
- 12,416
Mwanadada Mentor Cherry, amewahasa wanawake wenzake kutovumilia usaliti kwenye ndoa kwa kigezo cha kwamba Mwanaume hatosheki.
"Kumekuwa na maneno ya kuwa Mwanaume hatosheki na Mwanamke mmoja n.k ila ukweli ni kwamba hata Mwanamke pia hatosheki na Mwanaume mmoja isipokuwa ni anaheshimu mahusiano"- Cherry
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
"Kumekuwa na maneno ya kuwa Mwanaume hatosheki na Mwanamke mmoja n.k ila ukweli ni kwamba hata Mwanamke pia hatosheki na Mwanaume mmoja isipokuwa ni anaheshimu mahusiano"- Cherry
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️