Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,850
Ndugu zangu nawasalimu sana.
TAHADHARI: SOMA POLE POLE TYPING ERROR ZIPO NYINGI SANA
Katika harakati za maisha ya hapa duniani baada ya Muumba wetu kuona kwamba si vyema mwanaume awepeke yake alitulitea usingizi na kumtwaa mwanamke katika mwanamume kupitia kipande cha ubavu wetu ili basi tusijisikie wanyonge na wapweke pamoja na kusaidiwa kazi za hapa na pale.
Ndugu kabla mwanaume hajapewa mwanamke ikumbukwe Mungu alimpa mwanaume ajira (kazi) ya kuitunza bustani ila upendo mwanaume hapo awali hakupewa. Katika kuzidiwa kazi mwanaume basi akaletewa mwanamke na kuamriwa sasa kumpenda mwanamke na vile vile mwanamke akaamriwa kumtii mwanaume na siyo vinginevyo.
Ndugu zangu nimeanza hivyo ili ijulikane kwamba kazi ya mwanamke siyo kupenda bali ni kutii na kazi ya mwanaume ni kupenda mwanamke pamoja na kuendelea na kazi (ujira) aliopewa na Mungu huku mwanamke akiwa msaidizi wake.
Wanawake wakizazi hiki cha nyoka kilicho changamana na tamaa zao binafsi za bustani ya edeni kwa kula tunda walilokatazwa na mwenyezi Mungu huku wakitupea na sisi ili tufe wameyaacha majukumu yao ya kike ya kutii na kuingilia majukumu ya kiume ya kupenda.
katika uingiliano huu wa majukumu kumepelekea wanawake kujiegesha katika mahusiano na wanaume huku mioyoni mwao wakiendelea kutafuta kwa siri wanaume wanaovutiwa nao na kuwapenda kisirisiri huku wakisubiria kufuatwa na baadae kutimiza adhima yao ya usaliti kama walivyo saliti amri ya Mungu kule bustanini eden.
Jambo hili la mwanamke kutwaa jukumu la mwanaume la kupenda limepelekea sana usaliti katika mahusiano na migogoro mingi sana kwenye ndoa, familia zenye miundo mibovu na jamii zisizo na maadili huku wapenzi wakiachiana majeraha ya kudumu na hata kifo wakati mwingine.
Mbaya zaidi limetia hofu vijana wengi kukataa kuoa kabisa na kuishia kuchezea wanawake huku na huko na wanawake wengi kujikuta single mother huku watoto waliozaa kuwa taabana na haya yote ni kwasababu mwanamke na yeye ana jipajukumu la mwanaume la kupenda na kusahau jukumu lake kubwa la kutii na kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume na pindi mwanamke apatapo mwanaume anaye mtaka yeye ( kwa kisingizio cha kupenda) ataanza kumsumbua na kumfanyia vimbwanga mwanaume aliye na mahusiano naye au hata aliyemuoa na hii hutimia lile neno la Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Ndugu zangu wanaume kupima kiwango wa wanawake kuingilia jukumu la mwanaume la kupenda nipale tu utakapo gundua mwanzoni wakati wa kumtongoza , wengi utaona wakiyasema maneno haya pindi uwatongozapo
1: Nipe muda kidogo nitakupa jibu lako
2: Nitakufikiria
3:Wewe siyo type yangu/mimi na wewe hatuendani
4: Muda bado na hivi kwanza wewe umenipendea nini na wakati wanawake wazuri wapo wengi
5:kaka wanawake wapo wengi hakuna mwanaume anayekosa mwanamke
6:Nawewe utampata wako mtakaye pendana
7: Bikra ni nyama tuu kuwa nayo mapaka sasa hivi ni ushamba
Wakuu ni hayo tuu, kila mtu akae kwenye majukumu yake na kuachana na huu mfumo wa shetani wa 50/50 uliopelekea wanawake kuingilia majukumu yetu ya kupenda na siyo kutii mpaka kupelekea vijana wengi sana kukataa kuoa na kusababisha ongezeko kubwa sana la single mother
Nb: Nimeandika huku na mchungulia boss asininyake , utaedit mwenyewe kichwani mwako.
TAHADHARI: SOMA POLE POLE TYPING ERROR ZIPO NYINGI SANA
Katika harakati za maisha ya hapa duniani baada ya Muumba wetu kuona kwamba si vyema mwanaume awepeke yake alitulitea usingizi na kumtwaa mwanamke katika mwanamume kupitia kipande cha ubavu wetu ili basi tusijisikie wanyonge na wapweke pamoja na kusaidiwa kazi za hapa na pale.
Ndugu kabla mwanaume hajapewa mwanamke ikumbukwe Mungu alimpa mwanaume ajira (kazi) ya kuitunza bustani ila upendo mwanaume hapo awali hakupewa. Katika kuzidiwa kazi mwanaume basi akaletewa mwanamke na kuamriwa sasa kumpenda mwanamke na vile vile mwanamke akaamriwa kumtii mwanaume na siyo vinginevyo.
Ndugu zangu nimeanza hivyo ili ijulikane kwamba kazi ya mwanamke siyo kupenda bali ni kutii na kazi ya mwanaume ni kupenda mwanamke pamoja na kuendelea na kazi (ujira) aliopewa na Mungu huku mwanamke akiwa msaidizi wake.
Wanawake wakizazi hiki cha nyoka kilicho changamana na tamaa zao binafsi za bustani ya edeni kwa kula tunda walilokatazwa na mwenyezi Mungu huku wakitupea na sisi ili tufe wameyaacha majukumu yao ya kike ya kutii na kuingilia majukumu ya kiume ya kupenda.
katika uingiliano huu wa majukumu kumepelekea wanawake kujiegesha katika mahusiano na wanaume huku mioyoni mwao wakiendelea kutafuta kwa siri wanaume wanaovutiwa nao na kuwapenda kisirisiri huku wakisubiria kufuatwa na baadae kutimiza adhima yao ya usaliti kama walivyo saliti amri ya Mungu kule bustanini eden.
Jambo hili la mwanamke kutwaa jukumu la mwanaume la kupenda limepelekea sana usaliti katika mahusiano na migogoro mingi sana kwenye ndoa, familia zenye miundo mibovu na jamii zisizo na maadili huku wapenzi wakiachiana majeraha ya kudumu na hata kifo wakati mwingine.
Mbaya zaidi limetia hofu vijana wengi kukataa kuoa kabisa na kuishia kuchezea wanawake huku na huko na wanawake wengi kujikuta single mother huku watoto waliozaa kuwa taabana na haya yote ni kwasababu mwanamke na yeye ana jipajukumu la mwanaume la kupenda na kusahau jukumu lake kubwa la kutii na kuwa mnyenyekevu kwa mwanaume na pindi mwanamke apatapo mwanaume anaye mtaka yeye ( kwa kisingizio cha kupenda) ataanza kumsumbua na kumfanyia vimbwanga mwanaume aliye na mahusiano naye au hata aliyemuoa na hii hutimia lile neno la Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Ndugu zangu wanaume kupima kiwango wa wanawake kuingilia jukumu la mwanaume la kupenda nipale tu utakapo gundua mwanzoni wakati wa kumtongoza , wengi utaona wakiyasema maneno haya pindi uwatongozapo
1: Nipe muda kidogo nitakupa jibu lako
2: Nitakufikiria
3:Wewe siyo type yangu/mimi na wewe hatuendani
4: Muda bado na hivi kwanza wewe umenipendea nini na wakati wanawake wazuri wapo wengi
5:kaka wanawake wapo wengi hakuna mwanaume anayekosa mwanamke
6:Nawewe utampata wako mtakaye pendana
7: Bikra ni nyama tuu kuwa nayo mapaka sasa hivi ni ushamba
Wakuu ni hayo tuu, kila mtu akae kwenye majukumu yake na kuachana na huu mfumo wa shetani wa 50/50 uliopelekea wanawake kuingilia majukumu yetu ya kupenda na siyo kutii mpaka kupelekea vijana wengi sana kukataa kuoa na kusababisha ongezeko kubwa sana la single mother
Nb: Nimeandika huku na mchungulia boss asininyake , utaedit mwenyewe kichwani mwako.