PostGE2025 Video: Wananchi wazika nguo na viatu mara baada ya mwili wa marehemu aliyeuawa na polisi kutopatikana

PostGE2025 Video: Wananchi wazika nguo na viatu mara baada ya mwili wa marehemu aliyeuawa na polisi kutopatikana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Inauma sana na kutia hasira kuona familia ina uhakika mpendwa wao kauwawa ila serikalii batili na dhalimu inaenda kutupa miili kama takataka na wanazika nguo. Ni Haki na Uwajibikaji! Bila haki hakuna amani! Huu si msemo ila ndo ukweli halisi wa maisha! Uhai wa binadamu hata moja ina thamani kubwa.
 
Inasikitisha sanaa
1000060157.jpg
 
Hatari sana ,poleni ndugu ,jamaa na marafiki.

Tumeni taarifa ya waliopotea wote,kuuawa ,kujeruhiwa kwa ofisi ya chadema ili waandae ripoti itakayotumwa sehmu husika ila haki zao zipatikane.

Tusikubali huu uhuni utokee tena.
 
Back
Top Bottom