Tafsiri sahihi ya uhaini ni nini?View attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Kuzuia uchaguzi sio uhainiView attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Waandamanaji walilipwa na watu kutoka nje, ndio maana Lissu anamtaka mama yenu na wakuu wa vyombo vyake mahakamani 😁Na yaliyotokea 29/10 /26 huoni kama walipita kwenye script yake??
Kama ni huu ushahidi wa video ulishakataliwa na mtuhumiwa kuingia mahakamani, kwa sababu ulikosa vigezo vinavyotakiwa! Kama ni kuhusu hilo neno kukinukisha, halina uhusiano na uhaini! Mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuthibitisha pasi na shaka! Yaliyotokea Oktoba 29 nayo hayahusiani na Lissu kwa sababu hakuwa kiongozi au mratibu wake!View attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Je kuhamasisha uasi?Kuzuia uchaguzi sio uhaini
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotakaView attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Unaungaunga video ilikupata usahihi wa ilo unalotakaView attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Usichoelewa ni kuwa kuzuia uchaguzi siyo uhaini, pia disobedience siyo uhaini na kwa taarifa zaidi vyama vyote vya upinzani mara zote ni disobidient kwa serikali iliyopo madarakani yaani vinaipinga 24x7 hivyo kutotii masharti / sheria na kanuni za uchaguzi siyo uhaini.View attachment 3654709
Kwa wale wasioridhika na maamuzi ya jana ya jopo la majaji wa Mahakama kuu chini ya Jaji Ndunguru, wasikilize tena clip hiyo. Tundu lazima aeleze hiyo kauli ilikuwa ina maana gani?
Tundu alete mashahidi watakaomtoa kwenye hiyo kauli, na siyo drama za kumleta Rais, kitu ambacho kwa Katiba yetu hakiwezekani.
Lissu anahusika na ghasia za 29/10? Yeye alikuwa gerezani anahusika vipi?Na yaliyotokea 29/10 /26 huoni kama walipita kwenye script yake??
Uasi kama wa maandamano bila silaha sio uhaini.Je kuhamasisha uasi?
Angefunguliwa kesi ya uchocheziTukiacha ushabiki wa kisiasa kauli yake ilikua hatari sana maneno kama tutakinukisha, tutazuia uchaguzi, tutahamasisha uasi.
-Kuzuia uchaguzi inaweza kuwa kwa kuhamasisha watu wasiende kupiga kura au kwa sheria za mahakamaniTukiacha ushabiki wa kisiasa kauli yake ilikua hatari sana maneno kama tutakinukisha, tutazuia uchaguzi, tutahamasisha uasi.
Hilo halitatokea abadan. Lissu saa hii ingeishatoka zamani sana ila tatizo ni maneno maneno ya wafuasi wake na yeye. Kwa sasa Serikali na Mahakama wanahaha kuona angle watakayomtoa isilete aibu kwaoHata mkilia na kusaga meno haisaidii
Yule kichaa lazima ale kitanzi
Kauli zake ziko clear kuwa alikua anahamasisha uasi na uhaini kwahiyo madhara yameshatokea na kesi ya kujibu anayo kichaa yule