Hizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na bahadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona
1.
2.ngassa
3.mwalimu wa diamond
4.
5.
Yaani kweli mkuu mimi huwa nachukia sana aisee, sijui ni sababu zip zinasababisha mpaka kuweka herufi zisizoendana na maneno, mfano hela=ela, angaza=hangazaBinafsi nimeanza kucheka kwenye maneno
bahadhi =baadhi
ebu =hebu.
Hili jamaa lijinga tu kazi kufuatilia watu eti hawajui kiingerezaNa wewe ni kiazi...
Haujui kiswahili eti Bahadhi..... Bahadhi ndio kitu gani
Sasa wale wa lugha ya jahazi na yeye wa lugha yetu adhimu ya kiswahili nani ana afadhali?Yaani kweli mkuu mimi huwa nachukia sana aisee, sijui ni sababu zip zinasababisha mpaka kuweka herufi zisizoendana na maneno, mfano hela=ela, angaza=hangaza