Bado tu hujawa mzungu. Unangoja nini?Sawa
Waache waendelee kujifunza kingereza sisi tupige madeal. ..pesa pesa kama wachina. ..wanawakopesha mpaka wakingereza wenyewe. ....waache walale milele na kingereza chao tuone kama kitaleta mkate mezani. ..lol!Nenda Uingereza ukawe Muingereza uridhike. Tuache na lugha yetu tukufu ya Kiswahili.
Hizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na bahadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona
1.
2.ngassa
3.mwalimu wa diamond
4.
5.
Sawa
mbona umekua mpole lol
Hizi video zinaonesha kiingereza kilivyosafiri na meli na bahadhi ya nahau zikasahaulika baharini ebu ona
1.
2.ngassa
3.mwalimu wa diamond
4.
5.