MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,476
- 53,335
Wananchi wa Iran wanapata burudani kwa namna mapolisi yao yanababaika kila yakisikia sauti ya drone.... Imekua mazoea kuchezesha hizo sauti za drone karibu na mapolisi ya doria halafu wanachekelea namna inavyokua tafrani.
View: https://www.facebook.com/reel/1451297260343677
View: https://www.facebook.com/reel/1451297260343677