-ArkadHill
Senior Member
- Nov 1, 2023
- 177
- 407
Waafrika wenzangu, ngozi nyeusi...Hizi dini tuliletewa tu aise, tulizaliwa tukazikuta na tutakufa tukiziacha pia hivyo tusijifanye kuwa sisi ndio waasisi wa hizi dini....Dini sisitufanye tukawa wajinga, wenye chuki na wenye wivu pia.
Kila mtu aishi maisha yake as long as hamkosei mwingine.
Kila mtu aishi maisha yake as long as hamkosei mwingine.