Video nyingine ya uwindaji haramu Tanzania

Video nyingine ya uwindaji haramu Tanzania

Laaah jamaa wakatili kwel mpk nyani wanaua kwa ajili gan sasa.au nae n kitoweo mmmhhh pole tanzania kwa kuliwa na kila mtu.aka shamba la bibi
 
Kwenye uzi kama huu hutawaona Mkuu Elli, hata wakija wataishia kurusha matusi tu.
 
Duh, uwindaji huu kweli haramu...huyu kafanana na swala kweli kweli!


uwindaji-haramu.jpg
mtamu sana huyu!
 
Hivi Tanzania tutapoteza nini tukipiga marufuku uwindaji wa starehe katika mbuga zetu? Uwindaji pekee unaopaswa
kuruhusiwa ni wa kutumia kamera.
 
Nimeiangalia kwa uchungu sana hii video, halafu kuna watanzania wanahusika hapa pia. MUNGU atuepushie mbali na laana hii
 
hivi hawa wapo nchi yaooooo? hii nifedhea kwa serikali inayosema ipo makini, kumbe umakini wao ni kudeal na upinzani na kuwalisha maneno watu waseme uongo, wakati rasilimali wageni wanacheza nazo kama wapo kwao. hii video inasikitisha huu ni unyama kwa wanyama. Tanzania ya mwalimu ipo wapi?
 
haya yote watanzania mnayaataka wenyewe,tumieni kura zenu vizuri kuchagua watu makini wa kuongoza nnch hii.
 
Ni mbaya sana, Ngoja Tufanye kampeni kukomesha
 
yaan huo ni udhalilishaji wa wanyama pori unaofanywa na udhaifu wa serikali inayokabidhi dhamana kwa mawaziri wasio na hofu na rasilimali za nchi hii ,ona wanawakamata punda milia wadogo sasa wanawapeleka wapi ,jaman kuishi tanzania kuona mengi
 
... Mkuu, Usiwalaumu Hao Wawindaji, Walaumu Viongozi Wako Wa Hichi Ki Inchi Kwa Kushndwa Kulinda Rasilimali Zetu.. Hata Watz Tumezubaa Sana
Pia tujilaumu woote tunaowapigia kura hawa manyang'au.
 
ha ha ha ha ha tanzania ni inaendeshwa kama nyumba ndogo
 
Hao Waarab kama sio Waburushi namna wanavyowaua hao wanyama ni kama wanafurahia vile...

Hivi hakuna mtu mwenye kuifahamu hii gari wanayoitumia Toyota Land Cruiser V8 yenye reg no. T 671 CAS??

Halafu hawa ni Waarabu gani wenye kumchezea kitimoto pori? maana kuna mahali wamemkamata ngiri
 
Back
Top Bottom