Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,092
Bila Mwigulu Nchemba kukanyaga mafuta hali ya CCM isingekuwa hivi maana vijana wa CDM walikuja juu sana na kuwa vichwa ngumu huyu sasa ni zaidi ya @Nape Mnauye maana kinachotakiwa PIGA NIKUPIGE hakuna cha kugeuza na shavu lingine
huyo ndio kiboko yao Mwenyekiti JK alisema pale Kizota
huyo ndio kiboko yao Mwenyekiti JK alisema pale Kizota
Last edited by a moderator: