Kelele za chekechea wa kisiasa hazimzuii nguli wa kisiasa kuendelea na shughuli zake.
Wao wamebakiwa na cheap politics zinazokolezwa na spinning za kijinga na siasa zilizopitwa na wakati za kueneza sera zao za kutaka kufahamu nani ni msagaji na nani siyo msagaji au nani ni mdini na nani siyo mdini katika karne hii ya 21,
waacheni waendelee na siasa zao za kilaghai, maji taka na kumwagia watu wasio na hatia tindikali.
Makada tuko mikoani tunafanya kazi tuliyotumwa na wananchi kupitia kwenye sanduku la kura 2010.
CCM Tumethubutu, tumeweza na sasa tunatenda.