Centrehalf
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 509
- 145
Mwigulu (the terror) ni tishio kwa mustakabali wa mshikamano,umoja na amani ya taifa.serikali chukueni hatua haraka sana.remember days are numbered.
Ni wapi Mwigulu alishiriki kampeni za Uchaguzi asiuawe mtu? Nauliza tu.
Why is MWIGULU always linked to deaths, threats and blood??
Rais mbona hakubali kuundwa kwa tume huru ya uchunguzi kwenye matukio haya?...
coz he is a threat kwa maslahi ya watu flani.na since wabongo huwa tunaamini poroja zaidi ya real things tumekubaliana na porojo hizi.kama kweli mna ushahidi anahusika kwa nini msimpeleke mahakamani mnaacha anaendelea kufanya hayo mnayosema mauaji?au nyinyi wenye ushahidi na yeye lenu moja?
Nafikiri amejiandaa kuingia msituni ndio maana ameanza kwa kuachia ndevu ili atishe watu. Nchemba amejaribu kumpoteza Lwakatare imeshindikana na sasa wamekuja na mbinu ya kuua
Mimi ananizingua na ile kofia yake ya Chinese Red Army.
Nadhani anavaa kwa sababu ni mkuu wa kikosi cha kuleta fujo cha CCM
Rais mbona hakubali kuundwa kwa tume huru ya uchunguzi kwenye matukio haya?...