Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.

Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”

Chanzo: Siasa za Bongo
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji...
Yaani hiki kizazi kina laana.

Huyu mzee ndie baba yake Lengai Ole Sabaya

Limao halija wahi zaa papai.

Sijui Ccm huwa wana tokana wapi na hizi hewa za chooni
 
Kitendo cha CCM na wajumbe wake kumpitisha huyu Mzee kugombea nafasi yake, na kumpa ushindi kwa kupata kura nyingi, hili taifa lazima tuwe serious kujikomboa haya mambo tusiyachukulie kama utani.

CCM kuna DNA ya ushetani ambao lazima uondolewe kwa namna yoyote ile kwa kutumia nguvu ya umma, na wala sio masanduku ya kura.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.

Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”

Chanzo: Siasa za Bongo
Wabunge karibia wote ni ccm wanashindwa nini kupeleka maendeleo
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.

Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”

Chanzo: Siasa za Bongo
Hivi huyo mzee ni mzima kweli ?
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Thomas Ole Sabaya akizungumza na Wanachama wa chama chake amenukuliwa akidai kuwa Katiba Mpya haiwezi kuwa na faida ya kuwaletea huduma ya maji.

Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”

Chanzo: Siasa za Bongo
Hz lugha tlishazsikia huko nyuma, za kibaguzi. Katiba mpya = uchafu! Ndo mawazo ya mkuu wa Chama ktk hiyo ngazi! Wanachagliwaje!
 
Huyu mzee anaogopeka mno huko kwenye himaya yake. Naskia ni kipengele kuliko damu yake ile iliosoteshwa jela.
 
Back
Top Bottom