JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Kupitia video iliyotolewa na Mtandao wa Siasa za Bongo, amenukuliwa amesema “Katiba Mpya italeta maji hapa? Mnakuja kuleta uchafu tu, na sisi tutakaa hivihivi, tutaendana na wale wa chama chetu, wale mtakaoenda pembeni tuone Mkuu wa Mkoa aje akulete maji, (anageuka kumtazama Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella) unajipenda Mkuu? Rais Samia atakukubali tena?”
Chanzo: Siasa za Bongo