mwanyolataa
Senior Member
- Nov 25, 2012
- 126
- 74
Bana ee. Na ss tulipe kisasi nyumba kwa nyumba
Mi huyu jamaa nilisoma nae pale Mazengo huwa ana tabia ya kutafuta umaarufu bila kutumia akili. Pale shuleni wiki chache sana kabla ya necta alikuwa akitembea anapungia watu vidole vitatu akimaanisha atapata div 1 ya point tatu kwenye EGM yake. Pamoja na kumeza Mzumbe project yote maswali na majibu yake aliambulia div 3 ya mwisho...mchumi 1st class huyo. Vijana kama akina Nashon Andrew walikuwa wanamshangaa tu kisha necta ikasoma div 1 kali tu kwa akina Andrew. Yeye oohh nakata rufaa..mara nimeonewa...mara nilipaniki...hovyooo...midevu yake anataka sifa tu. Siye huyu alimshambulia Maalim Seif kwamba baada ya kuupata u VP sasa kanyoa timberland...mie Mwigulu huwa namdharau sana.
Pangu Pakavu.
Mimi namshangaa,.. afisa mkuu kama yeye kwenye ccm anavaa kofia ya chama cha nchi nyingine sijui ana maana gani! Ndio maana tunasema ni wasanii. Kama hawezi kuona sio sahihi nafasi aliyopewa na ccm ni wazi haimudu.Mimi ananizingua na ile kofia yake ya Chinese Red Army.
Nadhani anavaa kwa sababu ni mkuu wa kikosi cha kuleta fujo cha CCM
Hiyo video siion hata link hakuna,mutu anisaidie kuirahisisha!
Jamaa ana roho mbaya zaidi ya Hitler
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mimi namshangaa,.. afisa mkuu kama yeye kwenye ccm anavaa kofia ya chama cha nchi nyingine sijui ana maana gani! Ndio maana tunasema ni wasanii. Kama hawezi kuona sio sahihi nafasi aliyopewa na ccm ni wazi haimudu.
huyo ni mtoto w anji aya vumbi waarusha na wenyewe wanawadharau sana akina mwigulu na ndicho alichoambulia hata kwa CCM wenyewe.
MTU WA NJIA YA VUMBI HUCHUKUA SANA MUDA KUSTAARABIKA,AKIPEWA UNYAPARA ANAKUWA NA KIHEREHERE KULIKO MHINDI.
Watasema video feki hiyo maccm
si ndiyo wamewapa mabomu na bunduki za kuwamaliza chadema..
Watasema video feki hiyo maccm
Kuishabikia ccm kwasasa kunahitaji Uwe kichwamaji hasa au ule kwanza kale kajani la sivyo...ni ngumu ukiwa na akili zako timamu! Ni wazimu na sio siri ccm is going to the very end tena kwa aibu hakuna kitakachoweza kuirudisha ccm kwenye mstari wa uzalendo umakini na utendaji wenye kujali maslahi ya Taifa kwanza kwao kila kitu ni deal ni vema wakajiandaa tu kuwa chama cha upinzani au wakajiandaa kupotea milele
Kwa mujibu wa maneno ya Nchemba kuchagua mgombea wa CHADEMA ni kuchagua mchungaji na kuchagua mgombea wa CCM ni kuchangua muislam. Haya wakristo za kuambiwa changanya na za kwako CCM imeshawahukumu kwamba nyie hamfai kuwa katika chama chao na wamewachagulia CHADEMA kwamba ndo chenu. Tangu mwigulu atoke China hasali tena ameona kwamba wakristo waliomlea hawafai ameanza ugaidi.Kelele za chekechea wa kisiasa hazimzuii nguli wa kisiasa kuendelea na shughuli zake.
Wao wamebakiwa na cheap politics zinazokolezwa na spinning za kijinga na siasa zilizopitwa na wakati za kueneza sera zao za kutaka kufahamu nani ni msagaji na nani siyo msagaji au nani ni mdini na nani siyo mdini katika karne hii ya 21,
waacheni waendelee na siasa zao za kilaghai, maji taka na kumwagia watu wasio na hatia tindikali.
Makada tuko mikoani tunafanya kazi tuliyotumwa na wananchi kupitia kwenye sanduku la kura 2010.
CCM Tumethubutu, tumeweza na sasa tunatenda.