Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
vivian hujaona toka asubuhi naomba kuambiwa maana yake ili nichangie huu uzi?? only to get a skeleton saa nane hii
We bila practical training hili somo halitakuingia kichwani vizuri!
vivian hujaona toka asubuhi naomba kuambiwa maana yake ili nichangie huu uzi?? only to get a skeleton saa nane hii
We bila practical training hili somo halitakuingia kichwani vizuri!
HA HA HA, No cooment, nawaachia wengine waje wajibu, mh! Sina la kusema, watakuja wenyewe wakujibu,
Nguli its like you have something to say.....tafadhali kama unacho sema dont hesitate.....
We bila practical training hili somo halitakuingia kichwani vizuri!
practical training ya mtarimbo kulala doro?
Nguli its like you have something to say.....tafadhali kama unacho sema dont hesitate.....
BHT sina cha kusema namtania XSPN, hayo maneno yanasemwaga sana na member wengi humu endapo hawaelewi post.
bht,nakushauri achana na mtalimbo,hivi hujiulizi kwa nini wanazungusha tu toka asubuhi? Inawezekana sio chakula chema.Isije ikawa inafanana na matunda aliyokatazwa Eva asile kule bustanini edeni.Vyakula vingine sumu ujue! Eva alipokula lile tunda "alikufa"Nakuonea huruma my only young sisy usije kufa kwa vyakula hivi vigeni sijui mtarimbo.Nguli its like you have something to say.....tafadhali kama unacho sema dont hesitate.....
Hahahaha! I can see your face!
Hoja si kulala doro. Anataka kujua mtarimbo ni nini!
eeeeh u better see it gud ooooh when it comes tu Nguli
kwahiyo kwa ufupi unaweza kufanya practical training ya mtarimbo na bht?
bht,nakushauri achana na mtalimbo,hivi hujiulizi kwa nini wanazungusha tu toka asubuhi? Inawezekana sio chakula chema.Isije ikawa inafanana na matunda aliyokatazwa Eva asile kule bustanini edeni.Vyakula vingine sumu ujue! Eva alipokula lile tunda "alikufa"Nakuonea huruma my only young sisy usije kufa kwa vyakula hivi vigeni sijui mtarimbo.
kwahiyo kwa ufupi unaweza kufanya practical training ya mtarimbo na bht?
sitaki tena kujua!! Asante ZD, you guys keep the mtalimbo/mtarimbo/mtaimbo (warever) thing for yourselves!!!
sitaki tena hata kuujua!!! leave alone kufanya PT!!!
sitaki tena kujua!! Asante ZD, you guys keep the mtalimbo/mtarimbo/mtaimbo (warever) thing for yourselves!!!