Paul Makonda: Tuishi katika kweli, tusitengenezeane ajali

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali

Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali

Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
Ben saanane tunahija kweli yake toka kwa Makonda
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali

Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
Si ni Makonda alitafuta kabinti kakawa kanalalamika baba yake ni Lowassa? Aache unafiki.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Paul Makonda amewasihi Watanzania kuwa na desturi ya kuzungumza mazuri ya mtu akiwa bado yupo hai badala ya kusubiri afariki.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Makonda ameyasema hayo kwenye msiba wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa na kueleza kuwa baadhi ya watu hawakuwahi kwenda kumuona akiwa anaumwa lakini sasa wanatamba kwenye msiba wake.

Pia soma:
Msafara wa Makonda wapata ajali

Ajali ya Magari 13 Msafara wa Makonda; Tusome Alama za Nyakati
ndiyoo.....
ukweli usemwe..

R.I.P Laogwanan comrade ENL
 
Back
Top Bottom