The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
You may not like this. But it happened...
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla....
Shida siyo Balozi Mulamula kuwahi kutangulia mwezi mmoja kabla bali kilichonishitua mimi ni sababu za kuwahi kwake mapema kama anavyosema Tundu Lissu hapo...
Kwamba, eti ni ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa, hakupata kwa sababu zinazoelezwa kuwa ni utawala wake kuinajisi demokrasia nchini kwake...!
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Msikilize Tundu Lissu...
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla....
Shida siyo Balozi Mulamula kuwahi kutangulia mwezi mmoja kabla bali kilichonishitua mimi ni sababu za kuwahi kwake mapema kama anavyosema Tundu Lissu hapo...
Kwamba, eti ni ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa, hakupata kwa sababu zinazoelezwa kuwa ni utawala wake kuinajisi demokrasia nchini kwake...!
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Msikilize Tundu Lissu...