Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,444
naona kama wanaimba na kucheza tu, sioni kongamano lolote labda macho yangu yanahitaji miwani zaidi.Kama ilivyo ada , ile Taasisi bora ya Vijana barani Africa inayoitwa BAVICHA ambayo imechukua jukumu la kuongoza makongamano ya Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi nchini Tanzania kwa gharama yoyote , imefika Jimbo la Mwibara na kuendesha kwa mafanikio kongamano kabambe la Katiba mpya .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1972464