Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,673
- 218,182
Kama ilivyo ada , ile Taasisi bora ya Vijana barani Africa inayoitwa BAVICHA ambayo imechukua jukumu la kuongoza makongamano ya Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi nchini Tanzania kwa gharama yoyote , imefika Jimbo la Mwibara na kuendesha kwa mafanikio kongamano kabambe la Katiba mpya .
Ushahidi huu hapa
Ushahidi huu hapa